Msaada ndugu NAPATA WAZIMU

Msaada ndugu NAPATA WAZIMU

alafu baada ya kuikagua iweje?? Uwiiiiii watu wengine bwanah!
 
kweli kila mtu ni kichaa ila mwezetu kichaa chako ni nouma
 
habari wakuu wa MMU
Mwenzenu nina tatzo ktk mapenzi na mpz wangu.
yaan n hv n mwaka wa pili kwny mahusiano mpz wangu hajawai shika cmu yangu kuikagua inaniuma sana yani hata umuachie makusud haishiki kuifungua kuangalia sma wala call log yan nateseka kwa hilo na kuna cku nikaiacha kitandani makusudi akiwepo nikatoka nje na kuanza kuipiga hyo cm yangu kwa cm nyingine ambayo nilisevu jna la honey nilipiiga wee wap hakuigusa tuma sms wap wala.hakustuka ivi ananipenda kweli huyu au ananizuga tu yan roho inauma kweli sujui nifanyeje mnisaidie jaman

Tatizo ni kushika simu tu au una lingine? Sina hakika kama upendo wa mtu unapimwa kwa kuangalia logs za kwenye simu!!!
Anakupenda? Anakupigia simu? Anakuletea zawadi? Mnatoka naye out? Mnashirkishana na kusaidia nyakati za matatizo? Anajali matatizo yako? Anatoka nje ya mahusiano yenu?
 
habari wakuu wa MMU
Mwenzenu nina tatzo ktk mapenzi na mpz wangu.
yaan n hv n mwaka wa pili kwny mahusiano mpz wangu hajawai shika cmu yangu kuikagua inaniuma sana yani hata umuachie makusud haishiki kuifungua kuangalia sma wala call log yan nateseka kwa hilo na kuna cku nikaiacha kitandani makusudi akiwepo nikatoka nje na kuanza kuipiga hyo cm yangu kwa cm nyingine ambayo nilisevu jna la honey nilipiiga wee wap hakuigusa tuma sms wap wala.hakustuka ivi ananipenda kweli huyu au ananizuga tu yan roho inauma kweli sujui nifanyeje mnisaidie jaman
Wewe ni mwanamke au mwanaume? kama ni mwanamke utakuwa una kiranga na hakikutoki mpaka utolewe ngeu kama wale wa kule musoma ndio ujue unapendwa
 
Unalalamika hapa kwa sababu huna nyumba ndogo/hawara......

ungekuwa una nyumba ndogo halafu mpenzi wako ni anashika sim yako

tungekuwa tunajadili mengine sa hivi............
 
Unalalamika hapa kwa sababu huna nyumba ndogo/hawara......

ungekuwa una nyumba ndogo halafu mpenzi wako ni anashika sim yako

tungekuwa tunajadili mengine sa hivi............

hapana dear hebu piga picha ni wewe utafeel vp? mi nahic hanijali kabisa
 
habari wakuu wa MMU
Mwenzenu nina tatzo ktk mapenzi na mpz wangu.
yaan n hv n mwaka wa pili kwny mahusiano mpz wangu hajawai shika cmu yangu kuikagua inaniuma sana yani hata umuachie makusud haishiki kuifungua kuangalia sma wala call log yan nateseka kwa hilo na kuna cku nikaiacha kitandani makusudi akiwepo nikatoka nje na kuanza kuipiga hyo cm yangu kwa cm nyingine ambayo nilisevu jna la honey nilipiiga wee wap hakuigusa tuma sms wap wala.hakustuka ivi ananipenda kweli huyu au ananizuga tu yan roho inauma kweli sujui nifanyeje mnisaidie jaman

hahaha! umenifungia siku yangu kwa kicheko!
 
kwanini watu wengi ikifika issue ya kushikiana cm huwa mnachanganyikiwa!!!!?kama huna mambo mengi kinachokuogopesha kwa mpenzi wako kushika cm yako ni kitu gani??nilishaacha hiyo tabia ya kusema sishiki..kama tunashare everthing&especially our bodies why not phones??as long as i live nitashika mpaka basi!!!nilipata pigo moja nikajifunza...
 
kwanini watu wengi ikifika issue ya kushikiana cm huwa mnachanganyikiwa!!!!?kama huna mambo mengi kinachokuogopesha kwa mpenzi wako kushika cm yako ni kitu gani??nilishaacha hiyo tabia ya kusema sishiki..kama tunashare everthing&especially our bodies why not phones??as long as i live nitashika mpaka basi!!!nilipata pigo moja nikajifunza...

uko right mkuu
 
habari wakuu wa MMU
Mwenzenu nina tatzo ktk mapenzi na mpz wangu.
yaan n hv n mwaka wa pili kwny mahusiano mpz wangu hajawai shika cmu yangu kuikagua inaniuma sana yani hata umuachie makusud haishiki kuifungua kuangalia sma wala call log yan nateseka kwa hilo na kuna cku nikaiacha kitandani makusudi akiwepo nikatoka nje na kuanza kuipiga hyo cm yangu kwa cm nyingine ambayo nilisevu jna la honey nilipiiga wee wap hakuigusa tuma sms wap wala.hakustuka ivi ananipenda kweli huyu au ananizuga tu yan roho inauma kweli sujui nifanyeje mnisaidie jaman

Hahahaaaa, muache uone kama atalia
 
Back
Top Bottom