hapana ntajisikia raha coz ntaona napendwa
wewe ni sawa wale wanawake wa kikuria wasipopigwa eti hawapendwi unawashwa sana wewe
hapana ntajisikia raha coz ntaona napendwa
hapana dear hebu piga picha ni wewe utafeel vp? mi nahic hanijali kabisa
daaaaaaaahhh mkuu kiukweli nakuonea huruma coz they say THERE IS NO LOVE WITHOUT JEOULOUS,fanya utafiti labda ana sababu zake na sio kwamba hakupendi.au pengine anaheshimu sana privacy ya mtu.
Mokoyo nikiwa nakagua sim yako ndio nakuwa nakupenda..........
habari wakuu wa MMU
Mwenzenu nina tatzo ktk mapenzi na mpz wangu.
yaan n hv n mwaka wa pili kwny mahusiano mpz wangu hajawai shika cmu yangu kuikagua inaniuma sana yani hata umuachie makusud haishiki kuifungua kuangalia sma wala call log yan nateseka kwa hilo na kuna cku nikaiacha kitandani makusudi akiwepo nikatoka nje na kuanza kuipiga hyo cm yangu kwa cm nyingine ambayo nilisevu jna la honey nilipiiga wee wap hakuigusa tuma sms wap wala.hakustuka ivi ananipenda kweli huyu au ananizuga tu yan roho inauma kweli sujui nifanyeje mnisaidie jaman
hapana unaongea tu hvyo inaonyesha hakujali
You can say that again bro!Kila jalala na vichaa wake....
mwanzoni niliona kama jamaa amekutukana vile lakn kwa jibu lako hili ndo nimeamin unamatatizo ya akiliasante mkuu hayajakukuta