Kuna kitu umeficha hapa.
Sema ukweli kuna yoyote ambaye umemfanyia ubaya na unahisi labda atakurudishia kisasi?? Wake zako unawaamini kwa asilimia ngapi? Vipi hauna siri uliyoitunza kuhusu mali zako au chochote unachohisi labda kimejulikana?
Ninadhani una tatizo la ANXIETY, ni vema ukaenda kupata msaada wa Kisaikolojia au ukamuona daktari wa afya ya akili. Anaweza amua kukupa dawa ya kuondoa hiyo anxiety (japo zingine ni addictive) au ukafanyia psychotherapy. Pole sana!Habari wadau
Kama mada inavyoeleza
Kwa kifupi, at this age 45+ nimeajiriwa sekta binafsi (kampuni ya mawasiliano), nina wake 2 (wote ni waajiriwa wa serikali) na watoto 5 (mdogo kabisa ana miaka 5). Maisha yanakwenda poa tu kwa hali ya kitanzania. Ninaishi kwangu, na nina nyumba nyingine 4 sehemu mbalimbali Tanzania
Changamoto niliyonayo ni hofu. Yaani hata sijui ninaogopa nini?! Lakini nimejawa ha hofu kiasi kwamba kuna time nakosa kabisa usingizi. Nimejaribu kusoma vitabu, makala, na majarida yanayoeleza fear, anxiety, and worries lakini naona sipati ufumbuzi.
Wakuu msaada nifanye nini? Nimeongea na wake zangu mmoja mmoja na wote kwa pamoja maana ilifikia time sifikii ule "uwezo wangu chumbani". Lakini sielewi aisee. I am real worried naweza pata pressure au sukari soon - Mungu aniepushie mabalaa haya
Nawasilisha
Nadhani hasa shida iko hapo kwenye bold ndipo palipokuletea hiyo yote; umeanza kujihi kwamba "ume expire" that's the problem, unatakiwa kuonana na mtaalamu wa saikolojia ili ujue anakusaidiaje but still wewe ndio muhusika mkuu wa kuweza kulitatua hilo tatizo.Wakuu msaada nifanye nini? Nimeongea na wake zangu mmoja mmoja na wote kwa pamoja maana ilifikia time sifikii ule "uwezo wangu chumbani". Lakini sielewi aisee. I am real worried naweza pata pressure au sukari soon - Mungu aniepushie mabalaa haya
Nawasilisha
Nadhani hasa shida iko hapo kwenye bold ndipo palipokuletea hiyo yote; umeanza kujihi kwamba "ume expire" that's the problem, unatakiwa kuonana na mtaalamu wa saikolojia ili ujue anakusaidiaje but still wewe ndio muhusika mkuu wa kuweza kulitatua hilo tatizo.Wakuu msaada nifanye nini? Nimeongea na wake zangu mmoja mmoja na wote kwa pamoja maana ilifikia time sifikii ule "uwezo wangu chumbani". Lakini sielewi aisee. I am real worried naweza pata pressure au sukari soon - Mungu aniepushie mabalaa haya
Nawasilisha
Natamani sana kukushauri kiroho hapa ila Napata shida; Weka utulivu, is like Mungu anakuhitaji sana for the special mission.Kwanza nahofia kama kuna kitu ninamiss hivi (internally i feel so empty), najisikia kama nipo lonely, nakuwa nahisi kama kuna jambo baya linaweza kutokea.
Usiku nikilala mara nyingi naota nipo kwenye milima, majabali, au makorongoni
hivyo yaani
Pole, hofu ni Roho ya shetani, na usipotafuta amani ya kweli itakupoteza!
Binafsi niliwahi kutaabika na hofu, Mdogo wangu wa mwisho aliwahi pia kutaabika na hofu.
Nilikuwa naona vitu vya ajabu ajabu sana! rafiki yangu mmoja anasema
"picha za manyau nyau" like watu wananiwinda kuniua", da kumbe ilikuwa Illusions tu.
Pata muda sikiliza mahubiri, bila kujali dini uliyo nayo, ukiweza hudhuria hata Kanisani, utapata Amani ya kweli.
1.https://youtu.be/T5Ne1TqP6Tg
2.https://youtu.be/605ciBotGvE
3.https://youtu.be/sL8boXkdG8A
4.https://youtu.be/JiwJupmnJc4
God bless You.
Mkuu unazd kumpa hofuUkifa nitarithi wake zako
Pole sana,Kwanza nahofia kama kuna kitu ninamiss hivi (internally i feel so empty), najisikia kama nipo lonely, nakuwa nahisi kama kuna jambo baya linaweza kutokea.
Usiku nikilala mara nyingi naota nipo kwenye milima, majabali, au makorongoni
hivyo yaani
Habari wadau,
Kama mada inavyoeleza
Kwa kifupi, at this age 45+ nimeajiriwa sekta binafsi (kampuni ya mawasiliano), nina wake 2 (wote ni waajiriwa wa serikali) na watoto 5 (mdogo kabisa ana miaka 5). Maisha yanakwenda poa tu kwa hali ya kitanzania. Ninaishi kwangu, na nina nyumba nyingine 4 sehemu mbalimbali Tanzania
Changamoto niliyonayo ni hofu. Yaani hata sijui ninaogopa nini?! Lakini nimejawa ha hofu kiasi kwamba kuna time nakosa kabisa usingizi. Nimejaribu kusoma vitabu, makala, na majarida yanayoeleza fear, anxiety, and worries lakini naona sipati ufumbuzi.
Wakuu msaada nifanye nini? Nimeongea na wake zangu mmoja mmoja na wote kwa pamoja maana ilifikia time sifikii ule "uwezo wangu chumbani". Lakini sielewi aisee. I am real worried naweza pata pressure au sukari soon - Mungu aniepushie mabalaa haya
Nawasilisha
Kama haufanyi zoezi fanya zoezi hasa kukimbia hutojutia ushauri wanguHabari wadau,
Kama mada inavyoeleza
Kwa kifupi, at this age 45+ nimeajiriwa sekta binafsi (kampuni ya mawasiliano), nina wake 2 (wote ni waajiriwa wa serikali) na watoto 5 (mdogo kabisa ana miaka 5). Maisha yanakwenda poa tu kwa hali ya kitanzania. Ninaishi kwangu, na nina nyumba nyingine 4 sehemu mbalimbali Tanzania
Changamoto niliyonayo ni hofu. Yaani hata sijui ninaogopa nini?! Lakini nimejawa ha hofu kiasi kwamba kuna time nakosa kabisa usingizi. Nimejaribu kusoma vitabu, makala, na majarida yanayoeleza fear, anxiety, and worries lakini naona sipati ufumbuzi.
Wakuu msaada nifanye nini? Nimeongea na wake zangu mmoja mmoja na wote kwa pamoja maana ilifikia time sifikii ule "uwezo wangu chumbani". Lakini sielewi aisee. I am real worried naweza pata pressure au sukari soon - Mungu aniepushie mabalaa haya
Nawasilisha