Msaada: Naweza kupata wapi printing machine nzuri?

Msaada: Naweza kupata wapi printing machine nzuri?

Mrimi

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2011
Posts
1,691
Reaction score
640
Wakuu nahitaji printa kwa ajili ya ofisi yangu..napenda iwe na angalau spcs zifuatazo:

1. Speed angalau 50ppm
2. All-in-one yaani scanning,printing and copying

Nimejaribu kuchek online kwenye ebay,amazon nk..naona hawaship kuja tanzania..napenda pia kujua namna gani naweza kuagiza kutoka nje..na wapi..

Shukrani
 
Back
Top Bottom