Diplomatic Imunnity
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,180
- 316
bravo job centre mwenyekiti mtemvu
Kuna msomali na mbagladesh na mghana wa kaskazin wote waislam tunabeba nao boksi hapa Denmark. Wanasema mzungu ni mtu bwana. Walishafanya kazi middle east huyu mghana na mpakistan saudia na msomali Qatar na dubai. Wanasema mateso na manyanyaso waliyopata kutoka kutoka kwa waarab hawatasahau licha ya uislam wao. Licha yautajir walionao waarab wa hiz nch mshahara waliokuwa wanapewa mdogo kazi nine nakufanyishwa kama mtumwa. Kwa ufup uwe muislam ama siyo jua ukienda huko wewe ni mtumwa. Ingia youtube ama ugoogle uone haya manafik yanavyotesa waislam wenzao kutoka nchi maskin. Njoo nchi za wakristo huku u one wasomali wairaq wakurd wabosnia na waislam wanavyoish kama pepon wengi wao tena bure
labda uslim.
maana utashindwa taratibu za kiislam, pia watakuhukumu ww kafir.
tafuta nchi zingine
Kikubwa andika wosia kabla ya kwenda
Waarabu Si Binadamu Wa Kawaida,ni Bora Ukae Tanzania Tu Kama Umekosa Nchi Ya Kwenda,hapa Tanzania Ukiwa Na Akili Kabisa,hata Mtaji Wa Laki 5 Tu Unakutoa Kimaisha,epuka Bia,nyama Choma Na Waogope Kina Masai Dada,misschagga,preta,tinnacute,neggirl,ladyfurahia,faizafoxy,salamajay,hapa I Mean Waogope Wanawake Na Starehe Zote Kama Unataka Mafanikio Ya Kweli.
Nyie wagalatia hivi hamna hata shukrani kidogo?
Kuna waabudu masanamu ya wazungu km nyinyi mamilioni huko Arabuni.
Wamezagaa km utitiri na ukiwaambia warudi kwao huko bongo hawakubali hata kwa bunduki.
Wanafanya kazi ndogo kwa malipo makubwa!
Wengi wao wanaishi maisha ya juu kuliko nyie waganga njaa hapo Bongo!
Wagalatia ambao ni Wakimbizi haramu wamejaa Saudi arabia kiasi kwamba Wanaishi nyumba moja watu 30!
Matokeo yake wanajaza vyoo tu kwa shibe wanazopata huko.
Mwezi jana Serikali ya UAE imetoa mamilioni ya Dola kwa serikali yako bila masharti km wanavyoyatoa wale makafiri kila wanapotupa misaada.
Nyie na roho zenu za korosho hata wazazi wenu hamuwezi kuwashukuru kwa malezi waliowapa.
Samaki wahed!
Wakuu naomba kufahamishwa kazi za Abbas Mtemvu ndo zipi hizo?
Nyie wagalatia hivi hamna hata shukrani kidogo?
Kuna waabudu masanamu ya wazungu km nyinyi mamilioni huko Arabuni.
Wamezagaa km utitiri na ukiwaambia warudi kwao huko bongo hawakubali hata kwa bunduki.
Wanafanya kazi ndogo kwa malipo makubwa!
Wengi wao wanaishi maisha ya juu kuliko nyie waganga njaa hapo Bongo!
Wagalatia ambao ni Wakimbizi haramu wamejaa Saudi arabia kiasi kwamba Wanaishi nyumba moja watu 30!
Matokeo yake wanajaza vyoo tu kwa shibe wanazopata huko.
Mwezi jana Serikali ya UAE imetoa mamilioni ya Dola kwa serikali yako bila masharti km wanavyoyatoa wale makafiri kila wanapotupa misaada.
Nyie na roho zenu za korosho hata wazazi wenu hamuwezi kuwashukuru kwa malezi waliowapa.
Samaki wahed!
Mkuu, kwanza nianze kukufahamisha kuwa mimi si mwislam na nimekaa madinna miaka 4 hadi nilipoamua mwenyewe kurudi tz. Nachoweza kukushauri ni kwamba; iwapo una profession yako, waarabu watakuheshimu sana na utafanya nao kazi bila tatizo lolote. Lakini iwapo unatafuta kazi za mtemvu (u-house boy), unaweza ukaona maisha ni magumu sana kwako.
Iwapo utaenda huko hata kama una profession yako au vinginevyo, jitahidi usiingilie mambo ya dini yao au kwa kuikashifu au kwa kuwashawishi watu waachane nayo. Waarabu wanapenda sana dini yao na wanaweza kukufanyia kitu mbaya ukionekana unaleta upinzani. Otherwise ni watu wenye upendo bila kujali dini ya mtu.
King'asti Vitu vingine huwezi kutovizungumzia when it comes to life,Wao husema uislamu ni FULL UTARATIBU WA MAISHA.
Wewe jamaa kiazi sana. Huna tofauti na uhato wa wasira. Umeongea pumba sana ila ulichoongea muuslam wa kawaida ndio anaamini hivyo wewe unawawakilisha waislam wote waliopita madrasata alnusura abunuasi el zero brain.Nyie wagalatia hivi hamna hata shukrani kidogo?
Kuna waabudu masanamu ya wazungu km nyinyi mamilioni huko Arabuni.
Wamezagaa km utitiri na ukiwaambia warudi kwao huko bongo hawakubali hata kwa bunduki.
Wanafanya kazi ndogo kwa malipo makubwa!
Wengi wao wanaishi maisha ya juu kuliko nyie waganga njaa hapo Bongo!
Wagalatia ambao ni Wakimbizi haramu wamejaa Saudi arabia kiasi kwamba Wanaishi nyumba moja watu 30!
Matokeo yake wanajaza vyoo tu kwa shibe wanazopata huko.
Mwezi jana Serikali ya UAE imetoa mamilioni ya Dola kwa serikali yako bila masharti km wanavyoyatoa wale makafiri kila wanapotupa misaada.
Nyie na roho zenu za korosho hata wazazi wenu hamuwezi kuwashukuru kwa malezi waliowapa.
Samaki wahed!
Kwa sisi tusio wa imani hiyo(Ya Kiislamu) maisha yakoje,Ninaweza kutoka kweli.Mwenye Uzoefu msaada Tafadhali.