Msaada Nataka kwenda Marekani kutafuta maisha

Msaada Nataka kwenda Marekani kutafuta maisha

Singa Singa

Member
Joined
Dec 12, 2014
Posts
47
Reaction score
46
Jamani nataka kwenda Marekani kutafuta Maisha nauli ninayo kwa anaejua Prosees za kufika kule na michongo ilivyo amtired Bongo maana sina ndugu yeyote anaekaa ulaya naombeni msaada jamani
 
Marekani Ndugu nipeni Michongo ila sio ya Kucheza Picha za Utupu
 
Jamani nataka kwenda Marekani kutafuta Maisha nauli ninayo kwa anaejua Prosees za kufika kule na michongo ilivyo amtired Bongo maana sina ndugu yeyote anaekaa ulaya naombeni msaada jamani

Marekani sio ulaya.

Michongo ya America unahitaji hela kweli, tafuta mjanja hapa ambaye yupo America akutafutie demu kule America ambae ana chapa kazi kiukweli, akuunganishie aje bongo, funga ndoa, zama nae embassy mukaombe visa, ukiramba, unatambaa nae. Kama demu utachukua jumla jumla sawa kama business tu mtaarishie $5000. Huo Ndio mchakato safi,na ukifika huko hakuna ku struggling kama mkimbizi
 
Kama umeweza kuchakalika Bongo ukapata nauli ya kwenda US na kugharamia VISA then sioni Sababu ya Kwenda kutafuta maisha huko

Kimsingi wewe upo vizuri na bongo imekukubali. Kuna wenzako nauli ya kwenda South Afrika tu kwa fastjet Hawana na bado wana komaa tz

Endelea kupambana acha imani Hizo za kizamani. Umeweza kupata milioni za nauli hutoshindwa kupambana kupata michongo bongo
 
mmmh.......unashingapi nikupe mchonho tatizo nyie mnangania dar

embu ni pm nikupe mchongo

Mchongo wa kwenda kulima ufuta Kamsamba au kwenda kulima mahindi kule Basoutu?
Sidhani kama atakuelewa..
 
Jamani nataka kwenda Marekani kutafuta Maisha nauli ninayo kwa anaejua Prosees za kufika kule na michongo ilivyo amtired Bongo maana sina ndugu yeyote anaekaa ulaya naombeni msaada jamani

Unataka kutoa gundu au sio??
 
Mchongo wa kwenda kulima ufuta Kamsamba au kwenda kulima mahindi kule Basoutu?
Sidhani kama atakuelewa..

atanielewa kama ana HITAJI KUBADILISHA MAISHA YAKE MAANA NAULI,KUPROCESS MPAKA UJE UPATE MAKARATASI NA MAMBO YA HAPA NA PALE NI MTAJI MKUBWA SANA
 
marekani..ulaya...popote
ningekuwa wewe ningejichimbia ma wilayani kwenye fursa....
Huko uendako utapata mahitaji muhimu tu.....
Lakini ni bahati sana kumiliki uchumi. Makato ni mengi..hakuna 'loophole' kama hapa bongo.....
Ni kweli mkuu...watu wengi wanafuata mkumbo...America bila kazi inayoeleweka na papers ni Hell....kuna watanzania wengi sana wanaishi barabarani hawana papers...tatizo la nchi zilizoendelea ni kama unavyosema kila kitu kiko structured hamna loopholes...kwa hiyo no matter how much you earn inaishia kwenye kodi na bills...na kama hauna skills utakoma....msimu huu wa winta kazi ni kuzoa barafu...dola 10 kwa saa...ni kazi ngumu sana unakuwa hoi kabisa
 
Back
Top Bottom