steve_shemej
JF-Expert Member
- Nov 26, 2015
- 1,191
- 1,629
- Thread starter
- #21
Ni matokeo tuuUmenikumbusha mbali kuna jamaa mmoja hivi alidharimilia kwenda S.A akauza vitu vyake vyote mpaka alipata nauli, nasikia saivi anauza genge
Ni matokeo tuuUmenikumbusha mbali kuna jamaa mmoja hivi alidharimilia kwenda S.A akauza vitu vyake vyote mpaka alipata nauli, nasikia saivi anauza genge
Hutakiwi kujifunza kutoka kwa walioshindwaMwenzako shibekijijini anajichanga apate nauli ya kurudi, na ametoa onyo kuwa watu wasiendeko kichwa kichwa.
Shida yangu south bila kujali maisha ya namna ganiSouth hamna ussue. Tafuta ule uzi wa kongo ndo utajua hela ipo kongo na sio south.
South qatakutoa roho.
Kongo subiri uchaguzi uishe usepe ukapige hela.
Fundi magari huku dili sana njoo fastaNajua wapo wa kunivunja moyo ila ni kwamba nimezamilia
Naitaji maelezo au ushauli kuhusu mpango wangu wa kwenda south Africa
Mimi ni fundi wa magari lakini nikaamua kwenda kuingeza ujuzi nimeenda VETA kusomea welding and metal fabrication
Lengo langu kubwa natamani nikatafute maisha south Africa
Nahitaji kujua nini nifanye,gharama za safari,vipi ntaanza maisha nk
Mwenye kuweza kunipa maelezo ntashukuru
.NB
Haya ni mawazo yangu na hisia zangu pengine ukawa ni upuuzi kwako ila kwangu ni jambo zuri ......
Haimaanishi ufate nyendo zake. Inabidi uone kwa nini alishindwa ili na wewe usirudie makosa. Sio kila anayefelili alikuwa 'mbumbumbu mzungu wa reli'.Hutakiwi kujifunza kutoka kwa walioshindwa
Badoo mkuu, siku hizi hadi simu ya kuingilia jf anaazims sijui aliibiwa au aliuza. Ila cha msingi ni kupambana, mi namdhauri abakiko huko aendelee kupambana tu aseee.kwani hajarudi mpaka leo😂😂😂
aende soweto akawe kinyozi alaf zile pande wa bongo kama wote hawezi kosa chochote kituBadoo mkuu, siku hizi hadi simu ya kuingilia jf anaazims sijui aliibiwa au aliuza. Ila cha msingi ni kupambana, mi namdhauri abakiko huko aendelee kupambana tu aseee.
Niuzi upi huo kiongozi,Namm nina plan ya kwenda Congo,huko south tumesha pambana sana lkn wabongo ss hatuna ushirikiano km wenzetu wapopo hata Kenya au warundi ss ni chuki tu na kuleteana wazee wa mchongoSouth hamna ussue. Tafuta ule uzi wa kongo ndo utajua hela ipo kongo na sio south.
South qatakutoa roho.
Kongo subiri uchaguzi uishe usepe ukapige hela.