Msaada: Nataka kurudia A level

Jurrasic Park

JF-Expert Member
Sep 13, 2013
3,790
6,764
Habari

nilimaliza A level mwaka 2010 ila nilifeli kabisa. Mwaka uliofuata yaani 2011 niliamua kurudia tena ila katika combi yangu ya PCM nilipata alama E kwenye maths.

mwaka huo niliamua kwenda chuo cha diploma nikasoma mwaka 2014 nikapangiwa kazi na serikali. Sasa nilichokisoma chuo sijakipenda japokuwa na mshahara mzuri wa 700k sijajua mheshimiwa atatuongezea ngapi mwaka huu

Ila nataka nikarudie tena Physics na Chemistry. sasa hapa nilipo nasubiria wafungue tu kwenye tovuti ya necta nianze kuapply. Shida yangu nipate angalau ata cheti cha form six tu.

sasa nauliza hivi, ninatakiwa nipate wastani wa D's mbili ili niinde chuo kikuu au utaratibu ukoje maana siielewi ile guide book yao?

sitaki mapovu kama hujui kitu bora uwe msomaji

asante
 
Kwa vigezo vilivyo tumika mwaka Jana na kuendelea uwe na D mbili. Kurudia physics na chemistry Inatakiwa dhamiri yako iwe thabiti. Nakutakia mafanikio
 
Una umri gani?? Nasikia form six usizid miaka 26. Ndivyo nilivyosikia sina uhakika
 
Habari

nilimaliza A level mwaka 2010 ila nilifeli kabisa. Mwaka uliofuata yaani 2011 niliamua kurudia tena ila katika combi yangu ya PCM nilipata alama E kwenye maths.

mwaka huo niliamua kwenda chuo cha diploma nikasoma mwaka 2014 nikapangiwa kazi na serikali. Sasa nilichokisoma chuo sijakipenda japokuwa na mshahara mzuri wa 700k sijajua mheshimiwa atatuongezea ngapi mwaka huu

Ila nataka nikarudie tena Physics na Chemistry. sasa hapa nilipo nasubiria wafungue tu kwenye tovuti ya necta nianze kuapply. Shida yangu nipate angalau ata cheti cha form six tu.

sasa nauliza hivi, ninatakiwa nipate wastani wa D's mbili ili niinde chuo kikuu au utaratibu ukoje maana siielewi ile guide book yao?

sitaki mapovu kama hujui kitu bora uwe msomaji

asante
Go and find other works to do

Simply b'se you can't pass physics exam ,provided that you failed to get higher marks while you was at school hence you can't get higher marks while you are at QT tuition centres .
 
Back
Top Bottom