Llio 002
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 1,639
- 2,077
- Thread starter
- #21
Ila hizo cost ndio unaweza kuzijuwa kwa kutumia TRA calculation tool yao ilyopo kwenye website yao?CIF ni garama za kulitoa gari kutoka japenga hadi bandarini. Likifika bandarini kuna ushuru unaotozwa na TRA, port charges, agency fee na other misilenious cost kabla hujalipeka home hilo ndinga