Msaada Nataka kuagiza FORD EXPLORER 1FMEU74(2004) Kutoka Japan (TradeCarView).

Msaada Nataka kuagiza FORD EXPLORER 1FMEU74(2004) Kutoka Japan (TradeCarView).

Borro

Member
Joined
Nov 29, 2011
Posts
98
Reaction score
40
Ndugu JF members naomba msaada wa maelezo kuhusu FORD EXPLOER ya mwaka 2004, 4000cc, ambayo nataka kuiagiza kutoka Japan kupitia "tradecarview'' kampuni ya ''Y's OUTLET''. Nimekubaliana na hawa jamaa $5200 CIF + Inspection to Dar.

1: Nataka kujua kuhusu spare parts kwa hapa bongo kwa hii gari zinapatika kwa urahisi?

2:Kwa aina hii yaan FORD EXPLORER ninaweza kuipata kwenye showrooms za hapa bongo?, na pia bei yake ipo vipi?.

3:Kuhusu tax rates za TRA na mambo mengine nimetumia valuation system ya TRA nikaona angalau natakiwa kuwa na 6M hivi, swali kuna uwezekano wa TRA kupandisha kodi kwa aina ya gari hii na kutakiwa kulipa zaidi ya hapo?.

4: kwa wale walio wahi kuagiza gari kupitia tradecarview kwa hii kampuni ya Y's OUTLET, napenda kujua uaminifu wa hawa jamaa hasa kuhusu malipo, mie nataka kulipia kupitia PAYTRADE na si direct kwa seller. Je hapo pame kaa vip jamani?. Pia wana jamaa yao hawa Y's OUTLET anaitwa Tomo, vipi kwa waliowahi kufanya manunuzi na hii kampuni huyu jamaa ndo muhusika?.

Jamani ni hayo tu ambayo nahitaji sana kuyajua kabla sijafanya uamuzi wa kulipia, na ni matumaini yangu nipata majibu sawia kabisa.

Be blessed guys.
 
Nilikupa maelezo kwenye pm ila labda nikupe mengine kidogo...ilo gari linauzwa bei ndogo sana maana $5200 kwa gari ya 2004 ni ndogo...ni ndogo kwakuwa market yake ni ngumu yaani haliuziki kwa ukubwa wa engine (4000cc) na spare zake ktk upatikanaji na cost..so utakuta yanakaa sokoni kwa mda mrefu sana bila kuuzika ... haya magari uwa yanatengenezwa wakijua soko litapatikana kwenye nchi furani mfano kiwanda cha magari cha usa (GMC)target kubwa la soko lao ni arabuni japo wanauza ktk nchi nyingine pia,arabuni kama uae lita moja ya petroli ni tsh 350 na saudi arabia ni chini ya hapo hivyo hao ni wapenzi wakubwa wa magari hayo...kwako wewe ambaye unanunua mafuta yaliyochakachuliwa kwa bei ya juu sidhani kama hilo nyambizi litakufaa....kuhusu kodi tra wata uplift CIF hawawezikubali hiyo $5200 hivyo ushuru lazima uwe juu mpaka kuliweka barabarani andaa 7.4ml...tatizo lingine siku ukitaka kuliuza kwa sababu yoyote ile soko lake litakuwa gumu sana,mimi sikushauri lolote kama kununua au la...lakini nasema wamekuuzia bei ndogo(gari kubwa bei ndogo) maana demand ya hilo gari ni ndogo sokoni...ila gari hilohilo lingekuwa left hand demand ingekuwa kubwa nayaona dubai sana haya magari maana huku spares na mafuta sio issue
 
FORD-Fix Or Repair Daily
FORD-Found On Rubbish Dumps
FORD-Found On Road Dead
FORD-Found On Roadside Dead
FORD-Frequent Overhaul Rapid Deterioration

FORD ni gari zuri,japo matatizokibao,hasa kwa mtanzania wa kawaida.For companies its OK,ila binafsi sishauri.
 
Nilikupa maelezo kwenye pm ila labda nikupe mengine kidogo...ilo gari linauzwa bei ndogo sana maana $5200 kwa gari ya 2004 ni ndogo...ni ndogo kwakuwa market yake ni ngumu yaani haliuziki kwa ukubwa wa engine (4000cc) na spare zake ktk upatikanaji na cost..so utakuta yanakaa sokoni kwa mda mrefu sana bila kuuzika ... haya magari uwa yanatengenezwa wakijua soko litapatikana kwenye nchi furani mfano kiwanda cha magari cha usa (GMC)target kubwa la soko lao ni arabuni japo wanauza ktk nchi nyingine pia,arabuni kama uae lita moja ya petroli ni tsh 350 na saudi arabia ni chini ya hapo hivyo hao ni wapenzi wakubwa wa magari hayo...kwako wewe ambaye unanunua mafuta yaliyochakachuliwa kwa bei ya juu sidhani kama hilo nyambizi litakufaa....kuhusu kodi tra wata uplift CIF hawawezikubali hiyo $5200 hivyo ushuru lazima uwe juu mpaka kuliweka barabarani andaa 7.4ml...tatizo lingine siku ukitaka kuliuza kwa sababu yoyote ile soko lake litakuwa gumu sana,mimi sikushauri lolote kama kununua au la...lakini nasema wamekuuzia bei ndogo(gari kubwa bei ndogo) maana demand ya hilo gari ni ndogo sokoni...ila gari hilohilo lingekuwa left hand demand ingekuwa kubwa nayaona dubai sana haya magari maana huku spares na mafuta sio issue
Broda "Lucky Sabasaba" ahsante sana kwa maelezo yako mazuri hakika yamenipa mwanga mzuri tu na kwa kweli umeweza kujibu maswali yote niliyouliza kwa ufasaha kabisa. kwa kweli nia yangu nikununua gari kubwa kidogo for a very reasonable price, ndo maana niliomba ushauri hapa JF kabla sijaomba kutumiwa invoice. Issue ya mafuta na spare parts ni ya muhimu sana to take it into account before I decide whether I have to pay for the car or find another one. Labda tu bwana sabasaba kama unajua chochote kuhusu upatikanaji wa spare hapa Bongo waweza nisaidia kunijulisha pia. Kuhusu kiwese naweza kujitahidi kimtindo, ila kama spare parts kwa hapa bongo ni issue kupata basi itabidi ni cheki aina ingine ya gari. Pia kuhusu tax, TRA kulingana na system mpya kama walivyoonyesha kwenye web yao, tax valuation for used cars is no any more based on CIF but is done based on the price estimated the time when the car was then made for each particular make/model. So shaka yangu hapa ilikua pamoja na hayo ya tax based on price list, is TRA still can ignore their format and uplift the tax?, from your experience labda hivi karibuni umesikia kitu kama hicho kaka. All in all will definetely go through your advices and I'm sure ultimately I will come up with final decision.

Thanks broda.
 
Broda "Lucky Sabasaba" ahsante sana kwa maelezo yako mazuri hakika yamenipa mwanga mzuri tu na kwa kweli umeweza kujibu maswali yote niliyouliza kwa ufasaha kabisa. kwa kweli nia yangu nikununua gari kubwa kidogo for a very reasonable price, ndo maana niliomba ushauri hapa JF kabla sijaomba kutumiwa invoice. Issue ya mafuta na spare parts ni ya muhimu sana to take it into account before I decide whether I have to pay for the car or find another one. Labda tu bwana sabasaba kama unajua chochote kuhusu upatikanaji wa spare hapa Bongo waweza nisaidia kunijulisha pia. Kuhusu kiwese naweza kujitahidi kimtindo, ila kama spare parts kwa hapa bongo ni issue kupata basi itabidi ni cheki aina ingine ya gari. Pia kuhusu tax, TRA kulingana na system mpya kama walivyoonyesha kwenye web yao, tax valuation for used cars is no any more based on CIF but is done based on the price estimated the time when the car was then made for each particular make/model. So shaka yangu hapa ilikua pamoja na hayo ya tax based on price list, is TRA still can ignore their format and uplift the tax?, from your experience labda hivi karibuni umesikia kitu kama hicho kaka. All in all will definetely go through your advices and I'm sure ultimately I will come up with final decision.

Thanks broda.

Mara 10 ununue MAZDA TRIBUTE kama unataka gari kubwa kubwa,Ziko fine and very cheap mkuu
na cc 2000 tu,automatic au NISSAN PATHFINDER TRIBUTE.jpegindex.jpeg
 
Tatizo sipo bongo mda mrefu sina uhakika kama spare zake zinapatikana ki urahisi na kwa bei nzuri...kama nilivyosema hiyo ford ni gari zuri sana ndio maana ukitembea kwenye nchi nyingine utayaona mengi sana njiani...wafanyabiashara wa spare pia wanaangalia uwingi wa magari ili walete spares...hivyo ndio maana kwa tz maduka mengi ya spare ni za toyota maana gari nyingi ni toyota...kuna rafiki yangu alikuwa na simu Htc one(hazipo popular sana hapa dubai)bahati mbaya ilivunjika screen nilimsindikiza madukani kutafuta screen maduka mengi tulikosa ila tulikuta jamaa mmoja anazo bei ilikuwa hivi original 1000dhs(425,000 tsh) na fake ni 500dhs (212,5000tsh)mpaka leo hii hajanunua screen..jamaa mwingine alikuwa anatafuta screen ya iphone 5(ni popular sana hapa dubai) bei ilikuwa 100dhs(42,000/tsh)..so kabda hujanunua fanya utafiti wa mazingira uliopo..je ni gari popular au ni machache..vipi mafundi wanayajua vizuri...na spare je zinapatikana na kwa bei gani...nk,baada ya hapo fanya maamuzi...mimi pia kuna gari niliwahi nunua kulitumia nilishindwa ata kuliuza pia nilishindwa maana watu walikuwa wanataka kulinunua kwa 4ml wakati hiyo bei haitoshi ata kodi tu ya lile gari bandarini
 
Tatizo sipo bongo mda mrefu sina uhakika kama spare zake zinapatikana ki urahisi na kwa bei nzuri...kama nilivyosema hiyo ford ni gari zuri sana ndio maana ukitembea kwenye nchi nyingine utayaona mengi sana njiani...wafanyabiashara wa spare pia wanaangalia uwingi wa magari ili walete spares...hivyo ndio maana kwa tz maduka mengi ya spare ni za toyota maana gari nyingi ni toyota...kuna rafiki yangu alikuwa na simu Htc one(hazipo popular sana hapa dubai)bahati mbaya ilivunjika screen nilimsindikiza madukani kutafuta screen maduka mengi tulikosa ila tulikuta jamaa mmoja anazo bei ilikuwa hivi original 1000dhs(425,000 tsh) na fake ni 500dhs (212,5000tsh)mpaka leo hii hajanunua screen..jamaa mwingine alikuwa anatafuta screen ya iphone 5(ni popular sana hapa dubai) bei ilikuwa 100dhs(42,000/tsh)..so kabda hujanunua fanya utafiti wa mazingira uliopo..je ni gari popular au ni machache..vipi mafundi wanayajua vizuri...na spare je zinapatikana na kwa bei gani...nk,baada ya hapo fanya maamuzi...mimi pia kuna gari niliwahi nunua kulitumia nilishindwa ata kuliuza pia nilishindwa maana watu walikuwa wanataka kulinunua kwa 4ml wakati hiyo bei haitoshi ata kodi tu ya lile gari bandarini

Mzee sabasaba thanks very much, kwa sasa ndo nafanya utafiti kujua kama spare za ford explorer kwa hapa bongo zinapatikana. Unajua nini mkuu nataka nipate gari ya 7 seats lakini wakati huo huo engine capacity iwe chini ya 3000cc, pia bila kusahau bei iwe imepowa kiaina na mwaka wa kutengenezwa angalau 2004 kuepuka damping fee. Mie siye mjuvi sana wa magari, mzee nigga yeye kanilengeshea mazda, ila mazda zina only 5 seats. Vip waweza nipa tips kuhusu aina ingine ya gari tofauti na toyota, cc chini kidogo pia 7 seats?. Nitashukuru mzee kwa msaada wako.
 
mkuu Borro
Y's Outlet wako makini sana, meseji wanajibu ndani ya muda mfupi, magari yao quality yake ni nzuri, bei zao poa sana!, Tomo au jamaa mwingine anaitwa Kei ndio watoa huduma kwa wateja. kama unataka kununua kwa hawa jamaa basi ondoa shaka mchuma utaupata kwa wakati bila shida na kazawadi ka tisheti watakutumia baadae!.

ukitaka kuona kwamba hawa jamaa sio magumashi basi angalia review za wateja wao, mie niliagiza mkoko mwezi januari 2013 review zikiwa YES kama 147 na NO= 3, lakini mpaka sasa YES= 243 na NO ni zilezile 3!.
 
bora ununue Prado au Mitsubishi Challenger kama ishu ni gari kubwa,hiyo itakutia ulemavu wa kipato na hakika utaiweka juu ya mawe,otherwise wewe ni Bakhresa
 
Back
Top Bottom