Imalamawazo
JF-Expert Member
- Jul 27, 2021
- 1,343
- 3,279
- Thread starter
- #101
Hela zenyewe za kuibiwa ninazo basi, huu usawa wa samia haujakaa sawa kwanguNitafute nikuibie hela.
Hela zenyewe za kuibiwa ninazo basi, huu usawa wa samia haujakaa sawa kwanguNitafute nikuibie hela.
Ahahahhah ila kweli sema hujanielewa, nlimaanisha ugomee huo mfumo wake mnapokua faragha. Siyo ugomee tunda.Mwanaume wa kugomea hiyo kitu hajazaliwa
HahahaAmbae ameelewa atoe ushaurii![]()