illegal migrant
JF-Expert Member
- Oct 18, 2013
- 1,277
- 1,119
Sina tafsiri sahihi ya hili neno "uhuru wa kuabudu" ila naona kama watu wanaitafsiri tofauti wanapitiliza.
K7na nyumba ya ibada hapa jirani huwa wanaamsha watu kwa ajili ya kuswali lakini maneno anayotumia ni ya kuogopesha mpaka kuleta tahruki katika familia yangu.
Naweza kumnukuu "Amkeni mkaswali hizo nyumba zenu hapa naona kama ni makaburi na hicho kitanda ulicholalia ni kama jeneza hilo shuka ulilojifunika ndo sanda amkaaaaa amkaaa".
Haya maneno yakikuamsha usingizini huwezi kulala tena, hii inapelekea familia nzima kushindwa kulala.
Nafikiria kupata msaada wa kisheria.
Sent using Jamii Forums mobile app
K7na nyumba ya ibada hapa jirani huwa wanaamsha watu kwa ajili ya kuswali lakini maneno anayotumia ni ya kuogopesha mpaka kuleta tahruki katika familia yangu.
Naweza kumnukuu "Amkeni mkaswali hizo nyumba zenu hapa naona kama ni makaburi na hicho kitanda ulicholalia ni kama jeneza hilo shuka ulilojifunika ndo sanda amkaaaaa amkaaa".
Haya maneno yakikuamsha usingizini huwezi kulala tena, hii inapelekea familia nzima kushindwa kulala.
Nafikiria kupata msaada wa kisheria.
Sent using Jamii Forums mobile app