ngutu
Senior Member
- Jul 21, 2016
- 101
- 67
Habari wakuu.
Poleni na hongereni kwa majukumu, sijawahi kutoka nje ya Tanzania ndio nataka nianze sasa kwa kuanza na Jiji la Nairobi, Sina ndugu, rafiki wala mtu ninayefahamiana nae Nairobi, ila nimekuwa na msukumo wa ndani ukinitaka nifike Nairobi ,Sina passport ya kusafia, nahitaji kujua taratibu na kama kuna wadau hapa nipate wenyeji wangu.
Asante.
Poleni na hongereni kwa majukumu, sijawahi kutoka nje ya Tanzania ndio nataka nianze sasa kwa kuanza na Jiji la Nairobi, Sina ndugu, rafiki wala mtu ninayefahamiana nae Nairobi, ila nimekuwa na msukumo wa ndani ukinitaka nifike Nairobi ,Sina passport ya kusafia, nahitaji kujua taratibu na kama kuna wadau hapa nipate wenyeji wangu.
Asante.