Msaada: Nataka kubadili jina kisheria (NIDA)

Msaada: Nataka kubadili jina kisheria (NIDA)

Waafrika sijui tuna shida gani , nani kakuambia kuna majina ya wakristo na waislam? Kwa taarifa yako kuna majina ya kiarabu , kifini, kijerumani, etc. Dini hazina uhusiano na majina Kabisaa ni ujinga tuliomezeshwa.
Kwa kuongeza, hata maana ya jina inatokana na maana aliyokusudia mtu aliyetoa jina. Yaani unaweza kumuita mtoto John lakini ukasema maana yake ni mwenye nguvu na mwingine akamuita John akasema maana yake ni mkulima.
 
Masuala ya ardhi ni title deed acha kumpotosha.
Pale ardhi kuna mtu anaitwa Msajili wa Nyaraka, huyo anasajili deed poll, anasajili power of attorneys na nyaraka nyingi. Sio lazima nyaraka hizo zihusiane na ardhi
 
Pale ardhi kuna mtu anaitwa Msajili wa Nyaraka, huyo anasajili deed poll, anasajili power of attorneys na nyaraka nyingi. Sio lazima nyaraka hizo zihusiane na ardhi
kweli kabisa usemayo
 
Habari za muda huu wakuu,

Mimi ni Mkristo, nimeamua kubadili dini kuwa muislam kwa hiari yangu kabisa bila msukumo wowote.

Nimebadili jina langu la awali hivyo ningependa kubadili pia katika nyaraka zangu za kiserikali ikiwemo kitambulisho cha taifa (NIDA).

Je, ni utaratibu gani nifuate ili kuweza kubadili jina langu la awali na kupachika jina jipya ambalo litatambulika kisheria mpaka kwenye NIDA? Msaada wenu jamani naomba mnipe mbinu
Mashallah Allah akuongoze
 
Habari za muda huu wakuu,

Mimi ni Mkristo, nimeamua kubadili dini kuwa muislam kwa hiari yangu kabisa bila msukumo wowote.

Nimebadili jina langu la awali hivyo ningependa kubadili pia katika nyaraka zangu za kiserikali ikiwemo kitambulisho cha taifa (NIDA).

Je, ni utaratibu gani nifuate ili kuweza kubadili jina langu la awali na kupachika jina jipya ambalo litatambulika kisheria mpaka kwenye NIDA? Msaada wenu jamani naomba mnipe mbinu
Mashallah...Allah akuongoze katika dini ya kwl a dini ya asili ya mwaadam...ya mungu mmoja tu..hana mshirika
 
Habari za muda huu wakuu,

Mimi ni Mkristo, nimeamua kubadili dini kuwa muislam kwa hiari yangu kabisa bila msukumo wowote.

Nimebadili jina langu la awali hivyo ningependa kubadili pia katika nyaraka zangu za kiserikali ikiwemo kitambulisho cha taifa (NIDA).

Je, ni utaratibu gani nifuate ili kuweza kubadili jina langu la awali na kupachika jina jipya ambalo litatambulika kisheria mpaka kwenye NIDA? Msaada wenu jamani naomba mnipe mbinu
Hebu eleza uhusiano wa jina na dini, naona umedandia gari usilolijua.
Yusufu, Adam, Mariam na Musa, hawa ni dini gani?
 
Dah! Umechagua njia ngumu sana ya kupita. Yaani kirahisi tu ubadili mpaka vyeti vya elimu, kitambulisho cha Taifa, nk!!!

Nadhani huo mchakato unaweza kukuchukua hata miaka 20 na usifanikiwe kuukamilisha.
Sio kweli mkuu. Ni zoezi fupi tu ili mradi awe na nyaraka zitakzohitajika tu.

Change of names ipo kisheria na taratibu zake zipo wazi. Kuna dogo nilimfanyia hilo zoezi na majina yake sasa yanasomeka mapya.
 
Sio kweli mkuu. Ni zoezi fupi tu ili mradi awe na nyaraka zitakzohitajika tu.

Change of names ipo kisheria na taratibu zake zipo wazi. Kuna dogo nilimfanyia hilo zoezi na majina yake sasa yanasomeka mapya.
Mpaka kwenye vyeti vyake vya kielimu ulifanikiwa kubadilisha!!
 
Mpaka kwenye vyeti vyake vya kielimu ulifanikiwa kubadilisha!!
Ndiyo mkuu. Ukimalizana na mamlaka hasa ardhi na mambo kadhaa ya kisheria huko kwingine ni kupeleka nyaraka za mabadiliko ya majina wanajiridhisha wanabadilisha.

Ingawaje ni ka process kidogo ila kila kitu kinawezekana ili mradi umekula kiapo tu cha kubadili jina.
 
usimpotoshe kama hujui kaa kimya deed utaipata wazara ya ardhi kwanza unaenda kwa wakili unamuelezea yeye ndio atakuandikia deed pol utachukua itaenda ardhi na huko ndiko utakuwa imebadilisha jina watakuambia urudi wiki mbili unaendea karatasi hiyo ya deed pol utakuwa umeisha maliza kuna malipo kidogo ardhi na wakili ni mapatano kama elfu 20 au 10
Mimi nmewah fika Kwa wakili na Kwa msajili nikakamilisha siku hiyohiyo.

Nashangaaga Tu mnasema afuate baada ya week mbili
 
Habari za muda huu wakuu,

Mimi ni Mkristo, nimeamua kubadili dini kuwa muislam kwa hiari yangu kabisa bila msukumo wowote.

Nimebadili jina langu la awali hivyo ningependa kubadili pia katika nyaraka zangu za kiserikali ikiwemo kitambulisho cha taifa (NIDA).

Je, ni utaratibu gani nifuate ili kuweza kubadili jina langu la awali na kupachika jina jipya ambalo litatambulika kisheria mpaka kwenye NIDA? Msaada wenu jamani naomba mnipe mbinu
Hongera kwa kuijua Kweli.
 
Habari za muda huu wakuu,

Mimi ni Mkristo, nimeamua kubadili dini kuwa muislam kwa hiari yangu kabisa bila msukumo wowote.

Nimebadili jina langu la awali hivyo ningependa kubadili pia katika nyaraka zangu za kiserikali ikiwemo kitambulisho cha taifa (NIDA).

Je, ni utaratibu gani nifuate ili kuweza kubadili jina langu la awali na kupachika jina jipya ambalo litatambulika kisheria mpaka kwenye NIDA? Msaada wenu jamani naomba mnipe mbinu
Daah hapo inakubidi uende katika ofice za nida kwanza uulize alafu uangalie utaambiwa nini
 
Back
Top Bottom