MZEE MSASAMBEGU
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 2,780
- 2,555
Wakuu laptop yangu imezingua button ka nne hivi za keyboard zimeongozana hazi function.tatizo nahc ni hardaware so natafuta fundi mzuri wa hardware hapa morogoro wa uhakika anayeweza kunirekebishia mara moja and asiwe na bei ghali sana.
Kwa ambae ushawahi experience tatizo kama langu msaada wa ushauri plizz nifanyaje kupata solution ya tatizo NB:fundi kama yupo nakuletea laptop yangu unafungua wakati nipo unarekebisha tunalipana nachukua computer yangu nasepa siachi computer kwa fundi
Kwa ambae ushawahi experience tatizo kama langu msaada wa ushauri plizz nifanyaje kupata solution ya tatizo NB:fundi kama yupo nakuletea laptop yangu unafungua wakati nipo unarekebisha tunalipana nachukua computer yangu nasepa siachi computer kwa fundi