Msaada: Natafuta Campden tablets zinazotumika kutengenezea mvinyo(wine)

Msaada: Natafuta Campden tablets zinazotumika kutengenezea mvinyo(wine)

jamshidamri

Member
Joined
Aug 27, 2015
Posts
79
Reaction score
27
Jamani natafuta maduka yanayoweza kuuza ingredients za kutengeneza wine. Kwa kifupi kuna ingredient naitafuta inaitwa CAMPDEN.

Campden-tablets-to-be-used-in-wine-making.png


Cam tabs-600x600.JPG


Nimeshasumbua kichwa kutafuta mpaka nimechoka.
Msaada tafadhali
 
Jamani natafuta maduka yanayoweza kuuza ingredients za kutengeneza wine. Kwa kifupi kuna ingredient naitafuta inaitwa CAMPDEN.

View attachment 535134

View attachment 535135

Nimeshasumbua kichwa kutafuta mpaka nimechoka.
Msaada tafadhali
Ingia Amazon au Alibaba pia hapa bongo zipo ni (potassium or sodium metabisulfite) hutumika kuzuia yeast bacteria wasiendelee kula sukari ila pia uimarisha utamu wa mvinyo
Nb: wakati unatumia Camden uwe umeshapima final density ya mvinyo wako ili upate abv iliyo rasmi ijapokuwa kila baada ya zaidi ya miezi 6 kilevi uongezeka 0.5% abv
 
Ingia Amazon au Alibaba pia hapa bongo zipo ni (potassium or sodium metabisulfite) hutumika kuzuuw yeast au bacteria wengine ila pia uimarisha utamu wa mvinyo
comment nzuri ila typing error imeharibu maana yote
 
Jaribu kwa rainbow wapo hapa mitaa ya Pepsi kwa Nyuma . Vingunguti. Nyerere road Dsm
 
Jamii forum haitupi nafasi ya ku'edit comment baada ya kupita muda kidogo.
Anyway as long as muuliziaji kaelewa inatosha
Mkuu Mbona Sehemu Ya Editing Ipo Na Mimi Huwa Nasahihi Thread Hata Za Miaka 7 Nyuma Inakuwa Vema Bila
Sehemu Mtu Aki Quote Hunawezi Sahihi
 
Back
Top Bottom