Msaada nasumbuliwa na jino

Msaada nasumbuliwa na jino

Habari wana Jf

kama mada inavyo jieleza hapo juu nimekua nasumbuliwa na meno hasa haya magego kiasi kwamba nikinywa kitu cha baridi nasikia yanauma na mda mwingine upepo ukiingia mdomoni tu nasikia yanauma na yakiambatana na kichwa kugonga sana
Ufumbuzi wa kudumu wa matatizo ya meno nunuwa DFP Dental formula power.

Ofisi zao wapo ubungo plaza, au pharmacy ya kiomboi kisiriri.

Bei yake sijui kwa sasa ila ilikuwa sh 10,000/= ni herbalist treatment majani kama ya chai, unachemsha unasukutuwa kwa siku tatu hutopata tena matatizo ya meno, labda baada ya miaka 10 ndio unaweza kutumia tena.
 
Ufumbuzi wa kudumu wa matatizo ya meno nunuwa DFP Dental formula power.

Ofisi zao wapo ubungo plaza, au pharmacy ya kiomboi kisiriri.

Bei yake sijui kwa sasa ila ilikuwa sh 10,000/= ni herbalist treatment majani kama ya chai, unachemsha unasukutuwa kwa siku tatu hutopata tena matatizo ya meno, labda baada ya miaka 10 ndio unaweza kutumia tena.
Tupo hiyo formula tuondokane na maumivu ,wengine tupo mikoani
 
Ina maana sensodyne ina uwezo wa kuponesha jino linalouma?
Inasaidia Sana kuondoa maumivu na meno yanayouma uma, yaliyo yaliyo kwenye Hali mbaya yanafanyiwa treatment Kwanza, Ila ni dawa nzuri
 
Ni Bora ujichaganye mkuu kuliko meno yaendelee kukutesa
Nakubaliana na wewe mkuu, tatizo pia huwa ni vipaummbele! mtu anawaza, nikanunue dawa ya meno tsh 5000-10000 au ninunue colgate ya 2500 nyingine niongeze kwenye budget ya nyumbani!. Changamoto za maisha ni siri kubwa ambazo watu wamezihifadhi mkuu!.
 
Nakubaliana na wewe mkuu, tatizo pia huwa ni vipaummbele! mtu anawaza, nikanunue dawa ya meno tsh 5000-10000 au ninunue colgate ya 2500 nyingine niongeze kwenye budget ya nyumbani!. Changamoto za maisha ni siri kubwa ambazo watu wamezihifadhi mkuu!.
Unakusanya hata kwa mwezi afya ya meno ni muhimu Sana aisee, maana jino kikianza. Kuuma hamna rangi utaacha ona. Mwenyewe hununua huku nimefunga macho
 
Tupo hiyo formula tuondokane na maumivu ,wengine tupo mikoani
Dawa inaitwa DFP, kirefu chake ndio Dental formula power.

Sijui kuhusu mikoani mawakala wao ni wepi, lakini kwa Dar ni Kiomboi kisirisiri pharmacy na huenda wameongeza mtandao wa upatikaji wake, fuatilia au kama una mtu Dar mtumie pesa akutumie kwa mabasi utapokea stand, au jaribu kuulizia huko ulipo kwenye pharmacy kubwa.
 
Nimeanza kukisoma hiki kitabu kina mambo mengi,kama masuala mazima haya ya magonjwa ya meno na changamoto ya hizi tiba zake kama huku kuziba meno lakini kimeelezea njia nzuri ya kutunza meno yetu.
kiss-your-dentist-goodbye_2016-photo.jpg
 
Huumwi meno yote nenda kwa dentist, ayazibe yaliyochimbika Sana ayafanyie root canal na kuyaziba tena nenda hospital ya serikali usikimbilie kung'oa watapiga x-ray kujua jino lililochimbika, with technology sikuhizi watu hawang'oi, ugua pole
Asante sana
 
Ufumbuzi wa kudumu wa matatizo ya meno nunuwa DFP Dental formula power.

Ofisi zao wapo ubungo plaza, au pharmacy ya kiomboi kisiriri.

Bei yake sijui kwa sasa ila ilikuwa sh 10,000/= ni herbalist treatment majani kama ya chai, unachemsha unasukutuwa kwa siku tatu hutopata tena matatizo ya meno, labda baada ya miaka 10 ndio unaweza kutumia tena.
Asante mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom