mtati pro
Member
- Apr 30, 2022
- 10
- 4
Habari za humu ndani wanajamiiforums! niende moja kwa moja kwenye point, Kila nikikutana na mwanamke baada ya kumaliza tendo hua napata maumivu makali kwenye uume.
Kwa anaefahamu suluhisho la tatizo hili jamani anisaidie maana hospital nimeenda lakini shida bado haijatatulika.
Kwa anaefahamu suluhisho la tatizo hili jamani anisaidie maana hospital nimeenda lakini shida bado haijatatulika.