Msaada: Nani ananunua madini Dar es Salaam?


hahahaha!! nimekusoma chief ila wanasema kama ukienda sehemu tofauti kama bei haieleweki ukirudi kwa mwanzo wanagoma, je kuna ukweli wowote kuhusu ilo??
 
hahahaha!! nimekusoma chief ila wanasema kama ukienda sehemu tofauti kama bei haieleweki ukirudi kwa mwanzo wanagoma, je kuna ukweli wowote kuhusu ilo??

hiyo inatokeaga sana....ukiondoka na mawe ukirudi nayo wanajua ushachoshwa huko kwngine kwa hiyo na wao wanakugaragaza, ndomana mwingine anawachia madini ana seal anaondoka...akirudi wanaendelea mpaka unapata bei nzuri
 
hiyo inatokeaga sana....ukiondoka na mawe ukirudi nayo wanajua ushachoshwa huko kwngine kwa hiyo na wao wanakugaragaza, ndomana mwingine anawachia madini ana seal anaondoka...akirudi wanaendelea mpaka unapata bei nzuri

OK... iyo seal hawawezi kufanya magumashi labda kukata na kuweka mzigo sio??
 
hahahaha!! nimekusoma chief ila wanasema kama ukienda sehemu tofauti kama bei haieleweki ukirudi kwa mwanzo wanagoma, je kuna ukweli wowote kuhusu ilo??

Aise ukirudi hapo lazima uliwe au anakugomea labda iwe jiwe kubwa hapo atakuvumilia japo atakuporomosha sna.IMESHAWAHI KUNITOKEA,WALINIPA TOP OFA NAJIWE WAKANISOGEZEA NA CALCULETA NIKACHUKUA JIWE LANGU,wakaniambia ukipita GETINI hatuchukui jiwe,ikawa hvyo kweli hawakuchukua nilipopita.NIKAUZA KWNGNE
 
hiyo inatokeaga sana....ukiondoka na mawe ukirudi nayo wanajua ushachoshwa huko kwngine kwa hiyo na wao wanakugaragaza, ndomana mwingine anawachia madini ana seal anaondoka...akirudi wanaendelea mpaka unapata bei nzuri

nawapenda sna jinsi wanavyofanya biashara hakuna kelele wala mazungumzo marefu ni calculeta inafanya kazi.
 
OK... iyo seal hawawezi kufanya magumashi labda kukata na kuweka mzigo sio??

hata haijawahi tokea jamaa hao ni waaminifu na wanajua biashara hata uwache jiwe la 100mln utalikuta.ila ukiacha kwa mbongo hesabu maumivu tu ukirudi
 
hi biashara ya madini ukicheza vibaya unaliwa.biashara hovyo sna.nimewahi kuuza safaya 2.5m aliyenunua akauza milion 40.tangia siku hyo sijarudia tna hi kazi.imejaa ujanjaja na utapeli utapeli
 
hata haijawahi tokea jamaa hao ni waaminifu na wanajua biashara hata uwache jiwe la 100mln utalikuta.ila ukiacha kwa mbongo hesabu maumivu tu ukirudi

je tools gani mnunuzi anatakiwa kuwa navyo na bei gani kwa mnunuzi mdogo kwenye biashara ya germstone?? mbali na scale
 
je tools gani mnunuzi anatakiwa kuwa navyo na bei gani kwa mnunuzi mdogo kwenye biashara ya germstone?? mbali na scale

uwe na tochi na lenzi ya kutizamia...havina garama sana mkuu
 
hi biashara ya madini ukicheza vibaya unaliwa.biashara hovyo sna.nimewahi kuuza safaya 2.5m aliyenunua akauza milion 40.tangia siku hyo sijarudia tna hi kazi.imejaa ujanjaja na utapeli utapeli

umeona sasa hahaha pole sana mkuu....ila inabidi utulivu sana usiuze kwa pupa, supphire yako ilikuwa ya wapi mkuu
 


Cheap stones kama zipi
 
umeona sasa hahaha pole sana mkuu....ila inabidi utulivu sana usiuze kwa pupa, supphire yako ilikuwa ya wapi mkuu

chief ukiuliza supphire ya wapi unamaanisha nini??
 
uwe na tochi na lenzi ya kutizamia...havina garama sana mkuu

kuna rafiki yangu mkongo nataka kwenda nae Kongo na yeye ndio aliyeni impress kwenye hii biashara... na germstone kwa Tanzania zinapatikana wapi??
 
Nina amasisti kilo kumi nahitaji mnunuzi nipo arusha.pia nina cremu yangu ya dhahabu ipo survey tayari napia na amasisti.km kuna mdau tupige kazi.0789628489
 
Saphire ni miongoni mwa madini yanahitaji umakini ktk ununuz na uuzaji
 
kuna rafiki yangu mkongo nataka kwenda nae Kongo na yeye ndio aliyeni impress kwenye hii biashara... na germstone kwa Tanzania zinapatikana wapi??

uwe specific gem ipi unataka?km ni saphire uende kitai songea km haya cheap stone maeneo mengi yanapatikana ila watu hawangaikanazo sbb hawaelewi masoko zake.km una hela ako ajiri vijana muende porini mkapige kazi.KUHUSU KONGO ISHU YAKE NGUMU,HAWA MAJAMAA NI NOMA KWAO,WAMESHAWAFANYIZIA WABONGO KWAO.kuna jamaa zangu walishawahi kupiga kazi kongo walipata shda sna,madini yapo ila roho zao mbya,afu kingne waasi ukikutanao wanakunyanganya mzgo nakukupigisha kaz migodini.HAPAFAI KWA KAZI LABDA UWE JASIRI NA UWE TAYARI KWA LOLOTE NA UNAZIFAHAMU NJIA ZA CHOCHO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…