Habari wana JamiiForum, naitwa Christina umri miaka 28. Namtafuta baba yangu mzazi kwani toka nimezaliwa sijawahi kumuona zaidi ya kuambiwa alipokuwa akiishi na mama yangu alishafariki lakini kabla ya kufariki nikiwa na miaka 12 alinambia kwamba baba yangu alimpa ujauzito wakati akiwa anafanya kazi kama house girl mtaa wa Keko Machungwa kwenye kota na majina sina hakika ila kumbukumbu zangu alinitajia kuwa ni Nyalusi Kikoti. Naomba kwa yeyote ambae atakuwa anafahamiana au anaweza kuniunganisha nae anisaidie kwani haja yangu kubwa ni kumfahamu baba yangu na si vinginevyo. Kwa mawasiliano kuhusiana na jambo hili namba yangu ni 0758905911 hii namba inapatikana whatsapp tu. Mungu awabariki