Sendekera
Member
- Feb 18, 2018
- 39
- 60
Mwaka 2013 alikuwa Arusha kwasasa nasikia yuko Dar es Salaam kiukweli sifahamu aliko.
JINSI NILIVYOMFAHAMU:Alimsaidia sana my broo ambaye alipatwa tatizo kubwa la kiafya. Huyu mchungaji alikuja Merelani akampa sala jamaa yangu akapona.
Kwanini namtafuta: kuna mambo aliniambia sasa mengine yametokea nataka kumshukuru.
Naombeni msaada
JINSI NILIVYOMFAHAMU:Alimsaidia sana my broo ambaye alipatwa tatizo kubwa la kiafya. Huyu mchungaji alikuja Merelani akampa sala jamaa yangu akapona.
Kwanini namtafuta: kuna mambo aliniambia sasa mengine yametokea nataka kumshukuru.
Naombeni msaada