Mr. MTUI
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 8,130
- 8,330
Hakuna mabishano... Its reality... Kuna cultured milk(mtindi) and yoghurt.. Jaribu kujifunza utofauti wake utauona.. Ukishindwa ni pm nikupe darasa.. Na utaleta mrejesho humu ndani...Ok eleza tafaut yake kwa kutuelezea wanavotengeza uo mtindi na yoghurt kuliko kuweka mabishano