Black Coffee
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 1,929
- 3,170
Mimi nakushauri Kama maisha unaona yanakupiga tuu haufanikiwi wekeza nguvu kwa mama mtoto wako kuwa Mario tuu, wekeza zaidi kwenye kupiga mashine piga mashine Sana huyo mwanamke mpaka apatwe na dege dege kuna vijana wengi Sana hapo Dar es salaam wamewekeza kwenye kupiga mashine.
Tafta vumbi la kongo umkarabati huyo mama watoto wako, mshahara wake mtagawana 50-50 mawasiliano yatarudi tuu utapigiwa simu masaa 24 Kaka.
Pia akikaa vibaya mchape mimba nyengine ndio kilichobaki hiko mkuu.
NB: Mkuu wa nchii alipohaidi viwanda hamkuelewa viwanda gani, hata kupiga mashine kisawa sawa kunaweza kuwa ni shuguli za uzalishaji kama viwandani tuu so wacha maneno mzee baba piga mashine, fokoa fokoa kabisa hiyo papuchi utapewa mawasiliano ya kutosha.