hooligan01
JF-Expert Member
- Nov 21, 2013
- 664
- 540
Vipi, shule mnafungua lini?
we mlinzi wa shule nn??
Vipi, shule mnafungua lini?
Naombeni msaada wenu wanajamvi. Nina mchumba wangu bikra wakati wa kufanya mapenzi tunapata shida sana. Wakati wa tendo nashindwa kutengeneza njia kwa sababu mpenzi huwa analalamika sana kwa maumi8u makali! Nifanye nini ili mpenzi wangu asipate maumivu makali?
Mkuu uko hadi huku?
nimeshatafakari sana na ndo maana nikaamua kuwashirikisha wanajamvi
ni pm nijekukusaidia kutoa.. mi' nina degree ya kutoa bikra!
Mbona maelezo yako yanaonyesha tayari huwa mnafanya mapenzi?
Usitumie vilainishi vyovyote vyakikemia au kibaiolojia, mwandae vema mwandani wako mpaka mwili wake utoe vilainishi wenyewe, nakisha jilie vyako bila mawaaaa!
Ukishndwa mlete kwangu atarudi akiwa fresh nawe utamfurahia nakunshukuru!
aah Unabidi uwe Na vifaa vifuatvyo ili uweze kuitoa hiyo Bikra kwa urahisi,Baleshi.Nyundo, Spana,bisibisi..ikishndikana Na Hvyo InaBidi Ulete Bulldoza....Asante