Msaada: Namna ya kumtoa msichana bikra

Msaada: Namna ya kumtoa msichana bikra

amu hapa umeua lol.. Kudadekiiii

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

we unaonaje swrty????
Hizo ni painkiller ndo suluhisho pekee
 
Last edited by a moderator:
Mkuu, mpaka sasa tatizo liko pale pale au tayari limeshatatuliwa?
Kama bado, funguka hapa nikupe simple way!
Ok!
Mfanyie mwenzi wako kitu cha kumfurahisha zaidi, muandae kwa muda mrefu, ingia taratibu huku ukizidisha Manjonjo. Itakuwia rahisi naye atafurahia mchezo.
 
Naombeni msaada wenu wanajamvi. Nina mchumba wangu bikra wakati wa kufanya mapenzi tunapata shida sana. Wakati wa tendo nashindwa kutengeneza njia kwa sababu mpenzi huwa analalamika sana kwa maumi8u makali! Nifanye nini ili mpenzi wangu asipate maumivu makali?

ama kweli tembea ujionee dunia imebeba mengi😱hwell:
 
Naombeni msaada wenu wanajamvi. Nina mchumba wangu bikra wakati wa kufanya mapenzi tunapata shida sana. Wakati wa tendo nashindwa kutengeneza njia kwa sababu mpenzi huwa analalamika sana kwa maumi8u makali! Nifanye nini ili mpenzi wangu asipate maumivu makali?

nakiri mimi na wewe tuko na shida sawa
 
KwanZa kapimeni vvu alafu kafungeni ndoa alafu usiku wa harusi yenu mkiwa hotelini tayari kwa safari ya kuelekea kwenye tendo, mpake hiyo ky jelly kabla ya yote (hamjaanZa kutekenyana) kisha muanze safari kwa wewe kumuanda kwa mbwembwe zote ujuazo (ky ipo ndani yake tayari) akishaiva jipake na wewe ky kisha muingie taratiibu na stroking iwe ya taratbu bila pupa wala ushindani. Mkiwa mnaenda tena tendoni next time rudia steps kwanzia mkiwa hotelini.
 
Hapa hakuna dawa yeyote, hakuna cha ky jelly wa mdogo wake, huitaji kutumia mafuta ya kulainishia kama hayo, we muandae vizuri mpenzi wako, hakikisheni kuwa wote mpo ridhaa juu ya kile mnachoenda kukifanya, tatizo linapoijia ni kwamba wewe bado ni mdogo hujui cha kufanya bila shaka hata kule kumuandaa mwandani wako hujui. pole sana kijana, labda tu nikupe dalili za mwanamke aliyeandaliwa na yuko tayari kuingiliwa kimwili, mara nyingi mwili wa mwanamke huwa unatoa kilainisho wenyewe, sehemu ya uke wa mpenzi wako iwapo na majimaji basi tambua wazi kuwa mpenzi wako amekuruhusu uendelee kumshughulia kwa kuingiza uume wako ndani ya uke wake, cha ajabu na cha kufurahisha ni kwamba uke ulio tayari huwa ni laini mno na hutanuka kulingana na uume unaingia ndani yake. mwanamke bikra huwa ana utando kwa ndani, na hivyo unapomuingilia kwa mara ya kwanza ni kwamba unaenda kutoboa na kutengeneza, ni jambo ambalo mwanamke ni vigumu kulisahau. hupaswi kumuonea huruma ila cha kufanya ni kwamba, koki mashine.
 
KwanZa kapimeni vvu alafu kafungeni ndoa alafu usiku wa harusi yenu mkiwa hotelini tayari kwa safari ya kuelekea kwenye tendo, mpake hiyo ky jelly kabla ya yote (hamjaanZa kutekenyana) kisha muanze safari kwa wewe kumuanda kwa mbwembwe zote ujuazo (ky ipo ndani yake tayari) akishaiva jipake na wewe ky kisha muingie taratiibu na stroking iwe ya taratbu bila pupa wala ushindani. Mkiwa mnaenda tena tendoni next time rudia steps kwanzia mkiwa hotelini.

Peleka stor zako kwa shigongo hukoo,,,????fu
 
Makungwi mmejitahidi kutoa shule,natamani huyu kijana pia mmchagulie na gereza zuri la kwenda endapo anacheza na watoto wa shule vichochoroni.mchezo ni mzuri kabla hawajaumizwa wakiumizwa wazazi atawaambia nimebakwa,kinachofuata
babu seya type au papii kocha.
 
Back
Top Bottom