kengele maziwa
JF-Expert Member
- Jun 1, 2015
- 424
- 628
Kama title inavyojieleza hapo juu,
Wakuu nina idea ambayo nahitaji ku-work on it na ninampango wa kuwashirikisha baadhi ya organisation na benki as shareholder but changamoto ninayoiona kubwa ni usalama wa idea yangu.
Je, ninailindaje watu wengine wasiichukue au kuniibia?
Naombeni msaada wenu.
Nawasilisha.
Wakuu nina idea ambayo nahitaji ku-work on it na ninampango wa kuwashirikisha baadhi ya organisation na benki as shareholder but changamoto ninayoiona kubwa ni usalama wa idea yangu.
Je, ninailindaje watu wengine wasiichukue au kuniibia?
Naombeni msaada wenu.
Nawasilisha.