Msaada namna ya kujisajili huduma ya M-Pesa

Msaada namna ya kujisajili huduma ya M-Pesa

nzovwe

Senior Member
Joined
Aug 15, 2013
Posts
118
Reaction score
31
Wadau naombeni msaada, nataka nijisajili na huduma hizi. Pia nakumbuka mwaka jana aljitokeza mdau mmoja mkazi wa mwanza humu ndani aliweka email yake kwa wale wanaotaka kuanzisha huduma ya m-pesa ili waweze kujisajili, naomben ile email maana nmekamilisha vigezo na ile email yake nmeipoteza.
Msaada kwa hilo plz!
 
Wadau naombeni msaada, nataka nijisajili na huduma hizi. Pia nakumbuka mwaka jana aljitokeza mdau mmoja mkazi wa mwanza humu ndani aliweka email yake kwa wale wanaotaka kuanzisha huduma ya m-pesa ili waweze kujisajili, naomben ile email maana nmekamilisha vigezo na ile email yake nmeipoteza.
Msaada kwa hilo plz!
Are you serious?
 
Namaanisha kujisajili kuwa m-pesa wakala (agent). Samahani kwa nusu taarifa
 
Nenda na leseni yako ya biashara vodashop yoyote utapata maelezo kamili ingawa kimtaan kuna watu ambao pia wana hzo line wanauza ila utakua unatumia jina lake.
 
Nenda na leseni yako ya biashara vodashop yoyote utapata maelezo kamili ingawa kimtaan kuna watu ambao pia wana hzo line wanauza ila utakua unatumia jina lake.

We acha tu nchi hii huwezi kwenda ofisini kwao ukapata walishasimamisha zoezi hilo cku nyingi sana.Ndio maana unaona cku hizi watu wanazinunua mtaani.
 
Kama unahitaji kweli hakikisha una Leseni yako ya biashara, TIN number na ID yako (ID inaweza kuwa ya mpiga kura, ya kazi, au driving licence). Document unazitoa copy halafu ni-PM


Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Thanx my intellectuals!, let me comunicate with these people and I wil be back again to inform u
 
kama hujapata bado wasiliana na mimi ntakukamilishia kila kitu!!! 0718606578
 
mi ninayo yakwangu ukifika bei pow ni pm kwa mawasilian
 
Back
Top Bottom