Msaada namna ya kufungua Blogspot or Website

TEACHER FRANK MSIGWA

JF-Expert Member
Oct 19, 2016
537
445
Wakuu naombeni mnipe msaada namna ya kutengeneza blogspot coz nimekuwa nikikaa tu bila kazi na kupoteza mda mwingi kwenye mitandao ya kijamii pasipo faida yoyote.nimekuwa nikipata information mbalimbali na habari muhimu mara kwa mara but sehemu ya kuziweka ndo sina..nishawahi jaribu kutengeneza blogspot kupitia google but nilishindwa kuongezea vikolombwezo muhimu kuipendezesha and kilichonikatisha tamaa zaidi nilikuwa hata niki i search kwenye google kwa jina la blog yangu ikawa haionekani..nipeni maufundi jamani
 
Wakuu naombeni mnipe msaada namna ya kutengeneza blogspot coz nimekuwa nikikaa tu bila kazi na kupoteza mda mwingi kwenye mitandao ya kijamii pasipo faida yoyote.nimekuwa nikipata information mbalimbali na habari muhimu mara kwa mara but sehemu ya kuziweka ndo sina..nishawahi jaribu kutengeneza blogspot kupitia google but nilishindwa kuongezea vikolombwezo muhimu kuipendezesha and kilichonikatisha tamaa zaidi nilikuwa hata niki i search kwenye google kwa jina la blog yangu ikawa haionekani..nipeni maufundi jamani
njoo inbox tuongee mkuu
 
Wakuu naombeni mnipe msaada namna ya kutengeneza blogspot coz nimekuwa nikikaa tu bila kazi na kupoteza mda mwingi kwenye mitandao ya kijamii pasipo faida yoyote.nimekuwa nikipata information mbalimbali na habari muhimu mara kwa mara but sehemu ya kuziweka ndo sina..nishawahi jaribu kutengeneza blogspot kupitia google but nilishindwa kuongezea vikolombwezo muhimu kuipendezesha and kilichonikatisha tamaa zaidi nilikuwa hata niki i search kwenye google kwa jina la blog yangu ikawa haionekani..nipeni maufundi jamani
na mimi naitaji
 
Back
Top Bottom