Diason David
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 7,557
- 7,381
Google translated mkuu Hola,senor! ¿Çomo
¡Hola, señor! ¿Como estas?
¿Eres hablos español?
¡Hola, señor! ¿Como estas?
¿Eres hablos español?
quest quedo protario dacast mess
Asante mkuuMHhn!! wabongo bwan...kama unatak kuzamia bila papers fany safar mpaka Morocco then spain ina tumikoa tuwili ndani ya Morocco (overseas provinces) Melilla & ceuta kaz iliopo pale ni kupanfda border fensi then unazama ndani ya ceuta(spain) unakuw migrant ko migrant camp inakuhus ukiw Spain (spain mara nying hawan tabia ya kurudsha migrant)...intake ni njia salam coz migrant wanavushw baharin na Spain government kuto Ceuta ad mainland (ukiwa ceuta kwa macho unaiona Spain mainland kwa mbal....ila hii njia wanaitumia watu wa west afrika kwa sababu ni karbu....from Kolomije to morocco it will cost you alot of money&time compared to visa&ticket cost....Nawasilsha
😂😂😂😂😂 kipind cha nyuma nilkuw najua kua kila mzungu anachapa kingereza japo ana lugha yake...asante YouTube ikanionyesha broken zao kam zetu tuu.......cjawai fika Spain (kiujumla Europe, America&Asia) ila kwa tafit zangu spain ni nchi pili dunian baada ya France kunemaswala(romantic love) ya madavidav...Spanish girl hawaonag shda kukuapproach kdume kam amekupenda ue white au black..Racial segregation ipo kw kiwango cha chin san...tatzo kubw spain ni massive unemployment ukimchangany na ndug yake PortugalHuko English haipandi kabisa. Madereva taxi wengi mademu. Ila ni very friendly people
chukua basi, ngorika njo arusha.....spain ni mbele kidogo ya karatu
Asante mkuu
kwann uctumie legal ways coz illegal ways znaatarsha maisha kumbuka kunakuvuk Saharan desert kunakutekwa....af kam co mzoefu wa kutok nje ya kolomije nashaur ungeanza na nchi za Africa ususan za SADC zeny uchum mzur kam south A Namibia,Botswana, Angola, (Mauritius &Seychelles ni island kufika mpaka ndege au boat)Asante mkuu
Nawashuhudiaga kene kideo spanish girls wazur balaa....af wana rangi fulan hiv tofaut na Wazung wengne inaelkea kene ubrown ivSahihi mkuu. Kuna watoto wazuri sana kule. Warembo haswa. Hawana maringo kabisa hata ubaguzi sikuwahi kuuona. Nikipata fursa ya kuishi ulaya nitachagua Spain. Very friendly wale jamaa
Kabisa mzee baba. Halafu inaonyesha unawahusudu sana hadi umechukua na jina laoNawashuhudiaga kene kideo spanish girls wazur balaa....af wana rangi fulan hiv tofaut na Wazung wengne inaelkea kene ubrown iv


Asante mkuukwann uctumie legal ways coz illegal ways znaatarsha maisha kumbuka kunakuvuk Saharan desert kunakutekwa....af kam co mzoefu wa kutok nje ya kolomije nashaur ungeanza na nchi za Africa ususan za SADC zeny uchum mzur kam south A Namibia,Botswana, Angola, (Mauritius &Seychelles ni island kufika mpaka ndege au boat)
Umejuaje mkuu nawkubal Sana coz wamebarkiw misambwanda,mishape kam miss bantu sura dah!! wananiuaga kipsycholigia(kwa nnavo ona nenda ulay nzima utowakuta wazungu wenye shape kam miss bantu+beautiful faces zaid ya spain+Portugal....Kabisa mzee baba. Halafu inaonyesha unawahusudu sana hadi umechukua na jina lao![]()
Thanks MkuuSijui chochote MKUU Ila nakushauri badala ya kuzamia fuata taratibu za kihalali kwani utakuwa umeepuka mengi sana MABAYA.......by the way Kama ukifika Hispania wasalimu sana wachezaji Wa Madrid FC hata Kama msimu huu wapo vibaya , Ila ungeuliza namna ya kufika kitayawa, kwedihwahwala, kwedikwazu, kwedizinga, Wangama, nyabula, mlanda, LUHOTA, Na ilula ningekuelekeza mpaka mabalozi Wa hizo sehemu. Uwe Na Safari njema KIONGOZI wangu.
MHhn!! me Sio mwenyeji sana upande wa kuomba Visa ila kinachotakiw ni valid passport bank statement na maelezo yako binafsi....Tusubiri wajuvi zaid kweny upande wa visa qualificationsAsante mkuu
Kwa legal ways unaweza nipatia some tips
Bien papí, tambien hablo españolMhhh!
Muy bien
Usted es bueno por eso, ¿de berda?
¿de donde eres?Wakuu salaam
Naomba wanaofahamu yote yanayohitajika kwenda kuishi Spain
Note:Sijawahi tembelea nchi yoyote nje ya Tanzania
Hata kazi za kishenzi hamna?kipind cha nyuma nilkuw najua kua kila mzungu anachapa kingereza japo ana lugha yake...asante YouTube ikanionyesha broken zao kam zetu tuu.......cjawai fika Spain (kiujumla Europe, America&Asia) ila kwa tafit zangu spain ni nchi pili dunian baada ya France kunemaswala(romantic love) ya madavidav...Spanish girl hawaonag shda kukuapproach kdume kam amekupenda ue white au black..Racial segregation ipo kw kiwango cha chin san...tatzo kubw spain ni massive unemployment ukimchangany na ndug yake Portugal
Spain ni Masikini sana vijana wengi wana maisha magumu labda uwe na special issueWakuu salaam
Naomba wanaofahamu yote yanayohitajika kwenda kuishi Spain
Note:Sijawahi tembelea nchi yoyote nje ya Tanzania
MHhn!! kam zip bibie .....(kuzbua***)😉😉😉Hata kazi za kishenzi hamna?
Nope mkuu siko huko aseeMHhn!! kam zip bibie .....(kuzbua***)![]()
...I mean, za boksi kama US?