Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,373
- 54,758
we jamaa bana
Smart guy
we jamaa bana
Smart guy
Karibu mkuu, napenda ucheke.Hahahaaaaa nimecheka hadi nimelala chini
Mkuu wameiba mayai yangu na kuku wamekula saiz nna kuku 3 tuuu out of 15.... Nayachukia haya mapakaKwanini umuue. ..kwani wewe ndiye mwenye haki pekee ya kuishi duniani. .....yaani mtu unaongelea kuua kiumbe as if ni normal thing kweli..?
Kila kitu mkuu ni kwa uwezo wake.Nimecheka kweli.... Mungu anaua?
Chiiiiii hamuogopi wakiwazidi nguvu???Sisi zamani tulikuwa tunaacha mlango wa nyumba wazi na huko ndani tunaweka mzoga wa kuku au nyama yoyote ile. Usiku tunalala wanakuja na kuingia ndani na kisha tunaanza kuwashambulia baada ya kufunga mlango.
Tulikuwa tunawaua sana, wanaweza kuingia hata watano, tukifunga mlango humo ndani ni vurugu hadi wafe wote.
Hakuna kuogopa chochote.Chiiiiii hamuogopi wakiwazidi nguvu???
Sasa mkiacha mlango wazi alafu mkalala paka shume ndo wanawaamsha kuwa wamekuja au?Sisi zamani tulikuwa tunaacha mlango wa nyumba wazi na huko ndani tunaweka mzoga wa kuku au nyama yoyote ile. Usiku tunalala wanakuja na kuingia ndani na kisha tunaanza kuwashambulia baada ya kufunga mlango.
Tulikuwa tunawaua sana, wanaweza kuingia hata watano, tukifunga mlango humo ndani ni vurugu hadi wafe wote.
Kuna mtu anakuwa macho hapo mlangoni ili akiingia tu anafunga mlango na tunaanza kazi.Sasa mkiacha mlango wazi alafu mkalala paka shume ndo wanawaamsha kuwa wamekuja au?
Nenda kwa mganga umlogeHabari wakuu. Kuna mahala hapa paka pori shume wananisumbua haswa. Wanaiba mayai, wanakamata kuku n.k. naomba nisaidiwe namna ninavyo weza kuwaua kwa sumu
Tafuta mzoga wa kuku, weka sumu kali kutoka maduka ya madawa ya mifugo, mpasue kati kati, jaza sumu........ Subiri kuona kimya kizito pasipo kusumbuliwaHabari wakuu. Kuna mahala hapa paka pori shume wananisumbua haswa. Wanaiba mayai, wanakamata kuku n.k. naomba nisaidiwe namna ninavyo weza kuwaua kwa sumu
Sisi zamani tulikuwa tunaacha mlango wa nyumba wazi na huko ndani tunaweka mzoga wa kuku au nyama yoyote ile. Usiku tunalala wanakuja na kuingia ndani na kisha tunaanza kuwashambulia baada ya kufunga mlango.
Tulikuwa tunawaua sana, wanaweza kuingia hata watano, tukifunga mlango humo ndani ni vurugu hadi wafe wote.
Ahsante sana. Sumu kama ipi mkuu? Dawa Ipi inamuua fasta?Tafuta mzoga wa kuku, weka sumu kali kutoka maduka ya madawa ya mifugo, mpasue kati kati, jaza sumu........ Subiri kuona kimya kizito pasipo kusumbuliwa
Habari wakuu. Kuna mahala hapa paka pori shume wananisumbua haswa. Wanaiba mayai, wanakamata kuku n.k. naomba nisaidiwe namna ninavyo weza kuwaua kwa sumu
Mi nilitega sumu ya panya paka wawili ambao ni wasumbufu wamekufa mtaani.Habari wakuu. Kuna mahala hapa paka pori shume wananisumbua haswa. Wanaiba mayai, wanakamata kuku n.k. naomba nisaidiwe namna ninavyo weza kuwaua kwa sumu
Hili ndio tatizo kubwa la wabongo, amwachie Mungu ili iweje?ndio mana tuna fell sana nchi hiiFuga Mbwa mkali mkuu,Mambo ya kuua ua muachie Mungu mwenyewe.
We jamaa una roho kama yangu..Kwanini umuue. ..kwani wewe ndiye mwenye haki pekee ya kuishi duniani. .....yaani mtu unaongelea kuua kiumbe as if ni normal thing kweli..?
Hujawahi Fuga kuku alafu paka pori akapita na Jogoo Yani nadhani usingecomment hiviWe jamaa una roho kama yangu..
Simwachii Mungu mkuu, paka huyu lazima afe!!!
hahahaN
Hebu weka picha yako mkuu, tusije kua tunachat na paka mtu hapa.
😂😂😂😂