MSAADA, Ñahitaji power invetor

MSAADA, Ñahitaji power invetor

Tanki

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2013
Posts
538
Reaction score
248
Wakuu habari zeunu. Kijana wenu nahitaji invetor NDOGO kabisa maana nataka kutumia kwa ajili ya laptop tu. Ubavu wangu ni Elfu 30 cash niko nayo hapa. Naweza kuja kuifuata popote kwa hapa Dar. Mawasiliano 0769616581
 
Kwa huku nyanda za juu kusini watt 150 zinauzwa 25,000 (makampuni ya Sundar, Digtec, Aboder, Panasoanic na mengine mengi bei ni hiyo hiyo)
 
Back
Top Bottom