paparazimkuu
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 1,089
- 1,438
- Thread starter
- #21
Hakika umeongea point mkuu,Ndugu kuwa muelewa.. gari usipoendesha muda mrefu unaloose control.. ndio maana kazi za madereva zinataka experience.. yaani asome veta mwezi mmoja ajue kisha akae mwaka mzima bila kugusa gari.. halafu asikosee kweli?
Tena huo mwezi mmoja asilimia kubwa ni theory,
barabarani ni dakika chache sana tena za wiki mbili za mwisho