Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,088
- 10,812
Kwamba hata kufuata barabara itakuwa shida mpaka aishi mtaroni? Nimemshauri aongee na bosi afanye mazoezi kwa kutumia gari ya kazi.Ndugu kuwa muelewa.. gari usipoendesha muda mrefu unaloose control.. ndio maana kazi za madereva zinataka experience.. yaani asome veta mwezi mmoja ajue kisha akae mwaka mzima bila kugusa gari.. halafu asikosee kweli?