VETA nilifanya mazoezi na mtihani pia nimefanya ila unapokuja suala la control barabarani kwa aliyepitia hapo VETA ataniunga mkono,Kwa nini ulitie mtaroni? VETA si ulifanya mazoezi ya kuendesha? Na ukafanya mitihani kwa vitendo wa kuendesha, sheria unazijua? Jiamini na kuwa mwangalifu, kuwa wazi kwa mwajiri wako, kama ni kuanzia, uendeshe huko Masaki tu kwa kipindi fulani halafu taratibu unajichanganya maeneo yote.
Hayo ndo matatizo ya vyuo vyetu. Watu wanamiliki vyeti ila ukuzi hawana. Si veta tuu Hadi vyuo vikuu.Huko veta hamkufanya Practically
Kwa nini ulitie mtaroni? VETA si ulifanya mazoezi ya kuendesha? Na ukafanya mitihani kwa vitendo wa kuendesha, sheria unazijua? Jiamini na kuwa mwangalifu, kuwa wazi kwa mwajiri wako, kama ni kuanzia, uendeshe huko Masaki tu kwa kipindi fulani halafu taratibu unajichanganya maeneo yote.
Kikubwa ni control ya gari, ongea na huyo boss awe anakupa gari unapiga mazoezi barabara za mtaani soon utapata ujasiri wa kujichanganya na wenzio barabaraniTumefanya ila haitoshi kuwa mzoefu barabarani kwa practical ya VETA
Kufundishwa unakuwa na mtu pembeni ambaye ni dereva kamili atakayekuelekeza na kukuongoza tofauti ukikaa na boss pembeni au peke yako.Yaani kamanda gari la boss wa masaki hutaki kulitia mtaroni ila langu la kukufundishia unataka kulitia mtaroni
Asnte kwa ushauri wako mkuuAisee izi shule nyoko sana yaana unaweza soma na chet ukapewa sasa njoo chukua gari na uwe unandesha peke yako kama ni manually gia pekee utakayoenda nayo sawa ni kwanzia no4 na 5 na hizi kwenye folen hazina kazi hapo ndio unajikuta gar ikizima kila ukitaka kuondoka
Mb; mkuu kama huko veta mlijifunzia manual na ukaielewa kucontrol pako ndani ya akili yako kujiamin kwako ndio control yako na sio zaidi mengine utayajulia huko barabarani.
Kama boss wako gar lake ni out kwako itakua rahisi zaidi maana ni mwendo wa kuangalia mistar ya barabarani.