Dr. Mariposa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 2,762
- 8,332
Rejea kichwa cha habari hapo juu, nahitaji kupata majina ya mtoto wa kike au wa kiume, majina yawe ya kiasili ya Afrika na sio ya kikoloni kwa maana ya Kizungu au Kiarabu, kwa upande wa majina ya Kiswahili pia sitaki, mfano wa majina ya kiswahili ni kama Sikitu, Shida, Masumbuko, Mwamini, Majaliwa, Chuki, n.k
Tafadhali nipe jina na maana yake pia nijulishe ni la jinsi ipi ke au me,
Karibuni wadau.
Tafadhali nipe jina na maana yake pia nijulishe ni la jinsi ipi ke au me,
Karibuni wadau.