Zeddicus
JF-Expert Member
- May 5, 2012
- 627
- 537
Hii ninayo na nilikuwa naitumia nikawa na tatizo la kuumwa shingo. Kwahiyo niliachana nayo. labda kwa ushauri zaidi nini kingefanyika?
Mkuu PARADIGM labda unakosea namna ya kuji "position" me ni mwezi wa pili sasa nakitumia na ninaona matokeo chanya!
Last edited by a moderator: