MSAADA:Nahisi nimetapeliwa TV mpya

Ebay kipindi imeanza watu wamepiga hela mpka $1,000,000 sababu ya biashara ya online lakini Tanzania 325,000 tu mtu anaiba...pole sana mkuu ila watanzania wengi ni wajinga wao wanamlaumu na kumsema vibaya mtu kisa amekosea atajifunzaje kama hajakosea?
 
Mkuu mi naamini huyu si mfamyabiashara, mfanyabiashara hawezi kuingia mitini kwa laki 3 hata siku moja, yule ni tapeli tu, tangazo kama lile mtu yeyote anaweza kuliweka
 
Pole kwa yaliyokutokea.

Na nyie mnaomcheka hamna adabu, utafikiri mnajua kila kitu duniani.

Ripoti polisi na utie namba yake na print za screenshot zako. Ili pia usizipoteze jitumie kwenye e-mail zikae huko hata ukiziitaji baadae zitakuwepo kukusaidia ushaidi.
 
Mimi sikulaumu nakupa pole mana muda mwingine unatapeliwa halafu ukija kujifikiria unajiona mjinga.
Tatizo watu tunapenda rahisi halafu tunasahau rahisi aghali.
Ni bora kufanya makabidhiano ana kwa ana nakupa pesa unanipa mzigo mana wabongo hatuna uaminifu kabisa.
Muda mwingine huwa naona bora kulipa aghali dukani kuliko kutapeliwa.
Ununuzi wa namna hiyo yako unahitaji umakini wa hali ya juu.
 
Blessed Brother kwa Uungwana wako
Unajua Binaadam hatupo sawa.
 
UPDATE:
Jamaa leo amepatikana kwenye simu anasema alikuwa safarini. Ameniblock nikitumia simu nyingine anakata,namba yake ni 0715606457
 
Ukisikia Kupatwa kwa jua Mbalali- Mbeya ndiyo Kama hivi umeshampa Mpemba pesa ya kuolea mke wa 4 kirahisi kabisa
Pole sn mkuu.
 
Ameagiza kwangu mi sinaga hizo mkuu hata ukitaka nikuletee ndo ulipe mzigo mi sina tatizo maana ndo kazi yangu sina ubabaishaji
Sony flat screen, lcd HD, 50 inches ni bei gani ukiniletea hapa daslaam?
 
My take
Kutokana na mkasa wako iwe fundisho kutopenda MTEREMKO maana short cut is a wrong cut.
 
Unapo nunua kitu mtandaoni hutakiwi kulipa moja kwa moja.
Unatakiwa kulipa on delivery.
Ila pole sana.

Me mwenyewe na nunuaga na kuuza sana vitu huko kupatana.
But huwa nalipa na kulipwa wakati bidhaa nimeshaiona kwa macho na kuigusa na kuitest pia.

That is pay on delivery
 
Ukome...
wajinga ndio waliwao...
koma tena sana...
Hujifunzi tu kutoka kwa wengine????
Hvi hamuwezi kutumia lugha nzuri, kinachokufurahisha hapo nini, roho za kichawi sana hizi, unashadadia nini wakati mwenzako kapata tatizo, mngekuwa vijijini watu wa aina hii ni wangekuwa wachawi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…