Msaada: NACTE wamenichanganya, natamani kulia ndoto zangu zimepotea kabisa

MP CHACHANDU

JF-Expert Member
Dec 4, 2016
875
616
Mimi nilichaguliwa mwaka huu kusoma diploma but sijaenda kwa sababu sina karo nimeenda ofisi za NACTE ili wanitoe kwenye orodha ya wanafunzi waliochaguliwa 2016/2017 ili niapply upya mwaka huu wa masomo 2017/18 lakini nimejibiwa majibu ya kisiasa eti niwasiliane na chuo ndoo kinitoe kwenye system hii ni kweli ???? Au hawa watumishi wa nacte majibu yao yakoje? Sina pesa ya nauli ya kunipeleka kwenda kwenye chuo nilichochaguliwa nifanyeje jamani?
 
huo ndo ukwer na ulielewesha toka muda kuna uzi uliuleta last week nenda chuo wakutoe kwenye system dogo hawajakosea zen wapelekee hyo barua wakudahili upya.....
 
Wewe apply tena mwaka huu haipo sababu yakwenda chuoni kwani kuna mda wanaotoa usipohudhulia nafasi yako inachukuliwa na mwingine hivyo kutokuripoti moja kwa moja umejiondoa kwenye orodha ya wanafunzi husika.
 
Kwa hii serikali ya Sasa waweza poteza bado Kwa kukwambia this time wanachukuliwa waliomaliza fresh from school 2017.


Andika hii comments yangu pembeni na utarudi hapa kutoa ushuhuda
 
Wewe apply tena mwaka huu haipo sababu yakwenda chuoni kwani kuna mda wanaotoa usipohudhulia nafasi yako inachukuliwa na mwingine hivyo kutokuripoti moja kwa moja umejiondoa kwenye orodha ya wanafunzi husika.
Asante mkuu kwa maelezo mazuri sana nimekuelewa
 
Mimi ninavyojua siyo lazima kwenda huko ili utolewe kwenye system. Wakiona tu huyu mwanafunzi halipi ada, hajalipia kitambulisho wala hela ya bweni wenyewe watakutoa.
Asante mkuu aise majibu yenu yamenipa faraja
 
kutakuwa na intake mpya mwezi match/April mwaka huu unaweza apply upya. Huna haja kwasasa kwenda kwenye chuo husika watakuondoa kwakuwa hukuripoti
 
kutakuwa na intake mpya mwezi match/April mwaka huu unaweza apply upya. Huna haja kwasasa kwenda kwenye chuo husika watakuondoa kwakuwa hukuripoti
Asante mkuu kwa kunielekeza ubarikiwe sana
 
Maana ya kwenda chuoni ni kwenda kuhairsha Mwaka wa masomo, wamekujibu vyema na Ndo utaratbu wa NACTE.
 
wewe wasiliana na chuo waombe hiyo nafasi wakusaidie kukuandikia barua ya kuahirisha mwaka ili wakuhifadhie nafasi yako
 
Back
Top Bottom