Msaada: Naazima laptop/desktop computer kwa ambaye haitumii

Msaada: Naazima laptop/desktop computer kwa ambaye haitumii

Mambo mengine ni uzembe hivi Wewe unashindwa kumiliki laptop, mbona simu janja unayo?
Habari

Kamwene jamani,

Nimepata ufadhili wa masomo ya information and communication technology, ni government sponsored short course, changamoto nashindwa kufanya exercise nikiwa nyumbani na baadhi ya assignment inakua changamoto.

Ombi langu kwenu,ni kama kuna mtu ana laptop/computer ya desktop na haitumii naomba aniazime kwa makubaliano maalumu.ikiwezekana kuandikishana na pindi nitakapo maliza masomo nitamrudishia.

Nipo Donbosco ya Iringa mjini
 
Mambo mengine ni uzembe hivi Wewe unashindwa kumiliki laptop, mbona simu janja unayo?

Mkuu simu yake janja unaifahamu?
Weka mbinu za kumiliki hiyo laptop ili wengine wenye uhitaji wafaidike pia
 
Mambo mengine ni uzembe hivi Wewe unashindwa kumiliki laptop, mbona simu janja unayo?

Boss nakukumbusha kuwa
jamii forums unaweza kuingia hata kwa simu ya button
Jamii forums unaweza kupata access ya kuingia bure kabisa kwa kutumia free basics kama navyofanya mimi.
 
Yaan we muhehe umenifedhehesha.. Umekua kama matonya yule wa dar...
Asa wewe unakuja kuomba material thing hapa!!...
Atleast ungeenda kanisan au mchango wa mtaa wako...
Lakin hapa ungeomba idea /mawazo jinsi ya kupata laptop or desktop...
Au wazo jinsi ya kupata pesa za kununulia desktop /wapkwa kupata ya bei rahis
Habari

Kamwene jamani,

Nimepata ufadhili wa masomo ya information and communication technology, ni government sponsored short course, changamoto nashindwa kufanya exercise nikiwa nyumbani na baadhi ya assignment inakua changamoto.

Ombi langu kwenu,ni kama kuna mtu ana laptop/computer ya desktop na haitumii naomba aniazime kwa makubaliano maalumu.ikiwezekana kuandikishana na pindi nitakapo maliza masomo nitamrudishia.

Nipo Donbosco ya Iringa mjini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom