King Mbappe
JF-Expert Member
- Jul 26, 2018
- 1,195
- 2,058
Kuna member mmoja hapa JF alikuja na itikadi zake za Individualism.
moja ya characteristics za Individualism ni kuwa Self-sufficient. manake uwe na uwezo wa kukidhi haja zako bila kutegemea msaada wa mtu mwingine..
Kitendo chako cha kuomba msaada wa Laptop, tukijumlisha na kile cha marafiki zetu kutukopa hela, ni viashiria tosha kwamba Individualistic culture haipo perfect na sio culture ya kuipromote..
bado tunahitajiana..
nakutakia kila la kheri katika msako wa laptop Chief.
moja ya characteristics za Individualism ni kuwa Self-sufficient. manake uwe na uwezo wa kukidhi haja zako bila kutegemea msaada wa mtu mwingine..
Kitendo chako cha kuomba msaada wa Laptop, tukijumlisha na kile cha marafiki zetu kutukopa hela, ni viashiria tosha kwamba Individualistic culture haipo perfect na sio culture ya kuipromote..
bado tunahitajiana..
nakutakia kila la kheri katika msako wa laptop Chief.