Msaada: Naazima laptop/desktop computer kwa ambaye haitumii

Msaada: Naazima laptop/desktop computer kwa ambaye haitumii

Kamwene kamwene

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2019
Posts
1,159
Reaction score
2,611
Habari

Kamwene jamani,

Nimepata ufadhili wa masomo ya information and communication technology, ni government sponsored short course, changamoto nashindwa kufanya exercise nikiwa nyumbani na baadhi ya assignment inakua changamoto.

Ombi langu kwenu,ni kama kuna mtu ana laptop/computer ya desktop na haitumii naomba aniazime kwa makubaliano maalumu.ikiwezekana kuandikishana na pindi nitakapo maliza masomo nitamrudishia.

Nipo Donbosco ya Iringa mjini
 
Mkuu kuna laptop used ya hata 150,000 ukitaka...ukitaka desktop ndo usiseme...weka tangazo unatafuta laptop used ya 150,000 uone watakavyokuja. Cha kuazima hakisitiri t......ko
 
Mkuu kuna laptop used ya hata 150,000 ukitaka...ukitaka desktop ndo usiseme...weka tangazo unatafuta laptop used ya 150,000 uone watakavyokuja. Cha kuazima hakisitiri t......ko
Nashukuru kwa ushauri mkuu lakini bado najichanga ndio mana likaja wazo la kuazima,
Hofu yangu ni hizi za bei rahisi mno kuna hatari ya kuuziwa kisicho riziki/ya wizi
 
Nashukuru kwa ushauri mkuu lakini bado najichanga ndio mana likaja wazo la kuazima,
Hofu yangu ni hizi za bei rahisi mno kuna hatari ya kuuziwa kisicho riziki/ya wizi

Hapana mkuu kuna watu unakuta labda kanunua mpya (upgrade)....ya zamani ipo tu...kwa hyo anaweza uza kwa bei poa tu.
 
Nashukuru kwa ushauri mkuu lakini bado najichanga ndio mana likaja wazo la kuazima,
Hofu yangu ni hizi za bei rahisi mno kuna hatari ya kuuziwa kisicho riziki/ya wizi
Kiukweli hua inakua rahisi kuazimwa laptop na mwanafunzi mwenzio hata vyuoni ipo hivyo.

Kwa 250 utapata laptop ya kukutosha na hofu yako kwamba ni ya wizi iondoe kwakua kutegemea na specs utagundua kua hizo ndiyo bei zake.
 
Kama vipi uza hako kasmartphone kako, ongezea vijisenti ukamate laptop. Simu unatumia ya tochi tu. Kupanga ni kuchagua

Boss haka ka smart phone ka promotion hata elfu 30 sizani kama ntapata mteja..hakana camera
 
ukundijongela nyoni mnyalukolo yaani wikudza ipa na ikinudza kusuka i laputopu ..kama nene ngendikupelye ila ndilikutali ulatigila ndikutadzile ..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom