Msaada na ushauri jamani

senzoside

Senior Member
Mar 13, 2012
183
31
Habari za muda huu wandugu
Mm ni kijana mwnaume nina umri wa miaka 25 nafanya kazi kwenye shirika fulani la kitalii hapa mjini Moshi Kilimanjaro kazi yangu namshukuru Mungu inanilipa kwasasa nina hela taslimu shilingi milioni 20 kama mtaji niifanyie biashara gani itakayoweza kunilipa vizuri ambayo naweza kuifanya huku nikiwa naendelea na kazi yangu kazini kwenyewe ni kuanzia saa 2 asubuhi mpaka sasa 10 jioni.

Asanteni karibuni kwa michango yenu
 
Start a quails farm u want be disapointed and you will get R.O.I of 40% per year and on 2nd yrs it goes up to 60% However u have to keep them health
 
Start a quails farm u want be disapointed and you will get R.O.I of 40% per year and on 2nd yrs it goes up to 60% However u have to keep them health

am very sorry i havent got u clearly on the type of busness your talking about could mind please to give more elaboration so as i my comprehend you very well thanks very much
 
Back
Top Bottom