Msaada mzuri: Kwenu mliozaliwa March

Msaada mzuri: Kwenu mliozaliwa March

Aisee, huyo jamaa mjanja anatumia hadi opportunity za siku za kuzaliwa.
Hapa kazi tu. Hahahaha

Mbona na kuzaliwa kwangu march sina hata lepe la chura, ukntazmama huwez jua mgongo umeishia wap wala mapaja yameanzia wap, Mwambie arudie huo utafiti. N.b sio mim tu kuna mwngne namjua hana hata dalil ya kuwa chura yaweza ota.
Yeleuuuwi pole sana Kumbe Mungu hatoagi vyote?! Kiru! Ila tabia zingine unazo sio?! Izo alizoandika maana naona wewe umeona chura tu

Money Penny asante kwa kutufahamisha una msambwanda wa kufa mtu/mgongo classic/shibuda shibudee whatever that means!

NB: For Promotional Use Only.
Ahahahha, asante boss sio maneno yangu ni ya shemela

kweli lina.kazaliwa march nae yuko vizuri backside
Aisee, mpe hongera

Tangazo hilo limedhaminiwa na viganja.
Ahahaha nimecheeeka kweli, weweee acha kunichokozaa

Kumbe tuliozaliwa March tupo wengi humu JF! Nilikuwa silifahamu hilo. Nina sifa lukuki za Watu waliozaliwa mwezi March ila ngoja nizichunie Kwanza.
Ai weee weee embu tupe maujana tusikie
Usikae nacho mami, Mungu anakuonaa

Sisi me tulipewa naniiiiiihiii you know eeh
Wenzetu wakapewa chura. Tehteh
Mlipwe nini tena?!ahahaha

Hahahahaha lol! Chura itakuja bi dada usitie hofu yako yastawi taratibu kama mbuyu.
Ahahaha nimecheeekaaa

upande wetu wanaume Veep

ninezaliwa Leo I wish my best Inna na wengine mki ni wish nitajisikia poa sana
Awww Happy Birthday March Baby, Be Blessed Abundantly

Hahahaha
Inabidi nihamie March kabla haijaisha aisee
Ahahaha, mwezi wa Malkia wa nguvu sio?!

Mje na huku basi, bonyeza link hii hapa

MSAADA TUTANI: JE MZIKI NI NDOA MPYA?!
 
March chenga tu, mambo fulan wabovu aise
Sio kweli me nadhani ulipata demu wa March Mkaaaali afu ukampoteza au akakubwaga ndio maana unaleta hasira hapa. Poleee. Kulia vepee?!
Sisi akina March kama haujisomi tunakupotezea hatuna muda wa kupoteza na mtu haeleweki

tumejaaliwa dudez nzito. Nene na ndefu, full manguvu
Kiru ndoooroooboe ngoja nikawashe a/c inipepee
 
Happy Sunday kwenu wote

Kuna shemela bwana alifanya statistics yake ya kibishi sijui alitumia muda wa kutosha au wa kulipua? kiru me hata sijui

Sasa ulipofika mwezi march, akaniambia hivi

Shemela: hongera Money Penny kwa kuzaliwa march, ila nikuulize, kwanini wadada wengi waliozaliwa march wana chura sana/Msambwanda wa kufa mtu/ Migongo classics/ Shibudi Shibudee?!
Me nimefanya utafiti hapa nakosa kujua kwanini Mungu alimwaga vyura kwa wadada halisi mwezi March, miezi mengine wengi wao wana vyura vya kutengeneza

We mwangalie mke wa Ice T, yule Coco, kuna Kmichelle, Aretha franklin, Tamar Braxton, Money Penny, wote wana chura halisi

Alafu march babies mna Talent za kufa mtu, breath taking mind blowing talents, alafu mna roho nzuri sanaaaa hakunaga kama nyie roho zenu za pekeee

Money Penny: kwahiyo sasa point yako ni ipi labda?!

Shemela: kuwa Mungu kawapendelea sana March Babies, ni kweli wanavyosema Legendaries are born in march hawajakosea kabisaa

Eti wapendwa hili nalo linaukweli au shemela alikuwa anatafuta kiki?!
 
Thank u darling!

Hahahaaaaa ngoja nitakutumia private
Aya boss nasubiri

Kwelii ,,,Ni hataree bakuliana Na ww 85% me pia Ni march sema ntakuwa kwenye hiyo 15% ilibaki
Du! Asilimia 15 ndogo sana jamaa mbona unakuwa na inferiority complex ambazo akina March babies hawana usifanye ivyo best

Nimefurahi aseeh.

Ganja mwenyew nimezaliwa march
Kweli?! MARCH ngapi?! Hongera sana
 
Money Penny nilishakuambia spendi ku qoutiwa hivyo kwenye uzi wako.

Staki . ni qoute mimi tu au labda kama text zinaendana na mtu mwingine.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom