Msaada: Mwenye uzoefu juu ya ubora wa simu za HTC

Msaada: Mwenye uzoefu juu ya ubora wa simu za HTC

HTC sijawahi ichukia hata siku moja. Mimi ni mpenzi wa HTC sana. Cjawahi nunua simu tofauti na HTC

Kwa sasa natumia HTC desire 820s dual SIM, ni simu moja makini sana. Camera zake ni kiboko na ina uwezo wa 4G. Ina mambo mengi mengi kiasi kwamba sitaweza kuyaelezea yote.

Pamoja na kuisifia koote subiri nielezee matatizo nayoyaona kwenye hii simu na kama kuna mtaalamu naombeni anisaidie mawazo

1: hii simu bana, kuna kipindi ikifika inaji-restart yenyewe tu bila hata kuiamuru kufanya hivyo, na mara nyingi hufanya hivyo nkiwa nimeiweka juu ya kitu chenye tabia ya metal (chuma) nkiiweka hapo lazima itajiristart tu

2: Default camera yake inakula chaji kuliko hata ukiwa umewasha data. Data haimalizi sana chaji.

3: kuna kipindi inafika inaniambia ni-download system update, lakini nkishamaliza kuzidownload, inarestart na zinaanza kuingia, wakati zinaanza kuingia ile progress bar inasogea kidogo tu halafu panatokea pembe tatu flani hivi yenye alama ya mshangao(!) ndani yake ikiwa inamaanisha kuna errors flani. Na ikishafika hapo haiendelei tena na inakaa mda kidogo inawaka na naendelea kuitumia kama kawaida.

Tatizo nililoliona kwenye hii simu ni jinsi inavyorestart yenyewe tu. Ila ni nzuri sana

Kama una mpango wa kuinunua hii HTC desire jaribu kuwa makini kidogo

2b46093f4d4296a2b1424c1564b29867.jpg
 
HTC sijawahi ichukia hata siku moja. Mimi ni mpenzi wa HTC sana. Cjawahi nunua simu tofauti na HTC

Kwa sasa natumia HTC desire 820s dual SIM, ni simu moja makini sana. Camera zake ni kiboko na ina uwezo wa 4G. Ina mambo mengi mengi kiasi kwamba sitaweza kuyaelezea yote.

Pamoja na kuisifia koote subiri nielezee matatizo nayoyaona kwenye hii simu na kama kuna mtaalamu naombeni anisaidie mawazo

1: hii simu bana, kuna kipindi ikifika inaji-restart yenyewe tu bila hata kuiamuru kufanya hivyo, na mara nyingi hufanya hivyo nkiwa nimeiweka juu ya kitu chenye tabia ya metal (chuma) nkiiweka hapo lazima itajiristart tu

2: Default camera yake inakula chaji kuliko hata ukiwa umewasha data. Data haimalizi sana chaji.

3: kuna kipindi inafika inaniambia ni-download system update, lakini nkishamaliza kuzidownload, inarestart na zinaanza kuingia, wakati zinaanza kuingia ile progress bar inasogea kidogo tu halafu panatokea pembe tatu flani hivi yenye alama ya mshangao(!) ndani yake ikiwa inamaanisha kuna errors flani. Na ikishafika hapo haiendelei tena na inakaa mda kidogo inawaka na naendelea kuitumia kama kawaida.

Tatizo nililoliona kwenye hii simu ni jinsi inavyorestart yenyewe tu. Ila ni nzuri sana

Kama una mpango wa kuinunua hii HTC desire jaribu kuwa makini kidogo

2b46093f4d4296a2b1424c1564b29867.jpg
Poa poa mkuu, nimepata kitu hapo.
 
Ubora wa simu muda mwingine unategemea zaidi pale utakapoishika simu na kuitumia kuliko kuangalia specification za mitandaoni kwa mfano Htc m7 camera yake ina megapixel 4 lakin ubora wa picha zake huwez fananisha na baadhi ya simu ambazo camera zake zina megapixel 8 au 16
Specifications kuangalia ni muhimu...watu kama gsmarena wanafanya testing kabisa....alaf megapixel sio ubora wa picha...ni ukubwa wa picha...m8 ina 1/3" sensor size, 2µm pixel sasa kaangalie hizo simu zenye 12 mp au 16 unakuta zina sensor vimeo..aperture ndogo ndiomana zinapitwa na hyo m8..kikubwa ni sensor mkuu ikiwa kubwa obviously na aperture inakua nzur hivyo utapata great shots.
 
hayo majina yote niliyokutajia, htc m8 au E8 au desire eye zina hio snapdragon 801

njia nyengine unaingia playstore unadownload app ya cpu z kwenye simu husika na kuifungua itakuambia soc yake,

njia nyengine ni kugoogle jina la simu na kuangalia specs zake, mfano unagoogle samsung galaxy j7 specification utaona link ya kwanza tu inaonesha gsmarena unaingia utaona kama ina snapdragon hio
Mkuu jana nimefanyia kazi ushauri wako hasa kuikubali Desire Eye, lakini nimefanya market survey pamoja na nia ya kutaka kununua kabisa maeneo ya kariakoo, cha ajabu zile simu sijapata brand new, maduka mengi niliyopita nimeambiwa wanaleta na wanauza used tu.
Je ni kweli hizi simu zipo used tu na siwezi kupata brand new?
Kama kuna sehemu au duka unalijua hapa town nisaidie nipate brand new au kama una uzoefu kuwa hizo simu hapa town zipo used tu basi unaweza kushare na mimi pia mana nimezikubali ila nilipopata zote ni used nikasita kununua.

Asante
 
Mkuu jana nimefanyia kazi ushauri wako hasa kuikubali Desire Eye, lakini nimefanya market survey pamoja na nia ya kutaka kununua kabisa maeneo ya kariakoo, cha ajabu zile simu sijapata brand new, maduka mengi niliyopita nimeambiwa wanaleta na wanauza used tu.
Je ni kweli hizi simu zipo used tu na siwezi kupata brand new?
Kama kuna sehemu au duka unalijua hapa town nisaidie nipate brand new au kama una uzoefu kuwa hizo simu hapa town zipo used tu basi unaweza kushare na mimi pia mana nimezikubali ila nilipopata zote ni used nikasita kununua.

Asante
yap most of them zitakuwa ni used mkuu sababu ni simu ya 2014,

mwaka jana na huu HTC wametoa low end moja tu, jamaa ni kama wanapotea kwenye soko la simu,
 
yap most of them zitakuwa ni used mkuu sababu ni simu ya 2014,

mwaka jana na huu HTC wametoa low end moja tu, jamaa ni kama wanapotea kwenye soko la simu,
Thanks mkuu
But hakutakuwa na risk zozote za kununua iyo used, mana nahofia kununua used pengine kulingana na experience yako unaweza kunishauri
 
Thanks mkuu
But hakutakuwa na risk zozote za kununua iyo used, mana nahofia kununua used pengine kulingana na experience yako unaweza kunishauri
kwa used siku zote risk zipo mkuu, na toka zamani Htc ukinunua ni juu yako, sababu sidhani kama wana service centre hii Africa mashariki.

cha muhimu mwenye duka akupe hata warranty ya miezi mitatu, usisahau kupitia na hii thread kuepuka kuuziwa simu isiokubali mobile pesa, na matatizo mengine.
Jihadhari na simu za mitandao ya Kikorea, China na Marekani
 
Wakuu mimi natafuta battery ya HtC one S

Kwa yeyote mwenye uzoefu anijuze bei na mahali inapopatikana
 
Mkuu jana nimefanyia kazi ushauri wako hasa kuikubali Desire Eye, lakini nimefanya market survey pamoja na nia ya kutaka kununua kabisa maeneo ya kariakoo, cha ajabu zile simu sijapata brand new, maduka mengi niliyopita nimeambiwa wanaleta na wanauza used tu.
Je ni kweli hizi simu zipo used tu na siwezi kupata brand new?
Kama kuna sehemu au duka unalijua hapa town nisaidie nipate brand new au kama una uzoefu kuwa hizo simu hapa town zipo used tu basi unaweza kushare na mimi pia mana nimezikubali ila nilipopata zote ni used nikasita kununua.

Asante

Kwa Kkoo ni ngumu kupata HTC mpya,jaribu posta ila watakupiga kwa bei kubwa sana.
 
Sikukatishi tamaa ila kama unapenda simu ya kudumu nayo acha kununua simu used, yaani utajuta kupoteza hio laki tano yako na hiyo simu kabla hujamaliza miezi sita itakuwa ishaanza kusumbua, tafuta brand new ukikosa chukua brand nyingine kama huawei au Samsung! Nje ya hapo umeliwa pesa yako
 
Sikukatishi tamaa ila kama unapenda simu ya kudumu nayo acha kununua simu used, yaani utajuta kupoteza hio laki tano yako na hiyo simu kabla hujamaliza miezi sita itakuwa ishaanza kusumbua, tafuta brand new ukikosa chukua brand nyingine kama huawei au Samsung! Nje ya hapo umeliwa pesa yako
Vp abt iphone 5s amby ni refurbished??
 
Back
Top Bottom