kama umesha fanya wiring ya kawaida ni vema ukaweka mfumo wa taa za dc utakusaidia hata ukiwa na umeme wa tanesco umeme kwa sababu taa za dc zinatumia umeme mdogo sana pia utakua na uhakika wa taa kuwaka zaidi ya 12hrs, km bajeti ndogo unaweza kutumia wiring iliyopo bt tafuta taa za ac 7wats and below, umeme utawaka na kwa vifaa vyako utapata umeme kwa 5hrs, sababu inveter inapofanya kazi yenyewe inatumia nguvu nyingi sana. ndo maana tunashauri itumiwe kwa tv na redio kwakua vifaa hivi havitumiki zaidi ya 6hrs