Katika harakati za kupangiwa vituo vipya vya kazi nilijikuta nimepangiwa sehemu isiyo na umeme imenibidi kununua solar panel wat 50,betri N70 na invetor SI 150 sasa hapa nataka kuchukua tv flat screen inch 18 ila nina wasiwasi kama itaweza kuumudu moto huu.Naomba kwa mtu mwenye uelewa juu ya hili anijuze
Da vp kama nitaongeza sola pekee ikawa wat 150 ila betri likabaki lilelile tu
Katika harakati za kupangiwa vituo vipya vya kazi nilijikuta nimepangiwa sehemu isiyo na umeme imenibidi kununua solar panel wat 50,betri N70 na invetor SI 150 sasa hapa nataka kuchukua tv flat screen inch 18 ila nina wasiwasi kama itaweza kuumudu moto huu.Naomba kwa mtu mwenye uelewa juu ya hili anijuze
unataka kueasha taa 18 na tv ya 32 inch redio na feni, fafanua kuhusu taa za dc au ac, km za dc utahitaji panel ya 100w , betri 140N, controler 30A, inverter 300w, cable za main supply 6mm, km taa za dc fanya wiring kwa cable ya 2.5. pasi haiwezekani kwa mfumo huu
Muda wote ktk matumizi ya umeme jua unashauriwa kutumia vitu vinavyotumia umeme mdogo.sasa unaposema pasi,kwanza hakuna pasi ya solar.unaweza kuitumia ila ikawahi sana kumaliza moto wako ktk betri
Muda wote ktk matumizi ya umeme jua unashauriwa kutumia vitu vinavyotumia umeme mdogo.sasa unaposema pasi,kwanza hakuna pasi ya solar.unaweza kuitumia ila ikawahi sana kumaliza moto wako ktk betri
Ninazo Tv za solar 4w
pasi za Solar 6w
Bulb za solar 1w,2w,3w
na vifaa vyote vya solar kwa anaetaka tuwasiliane
Ninazo Tv za solar 4w
pasi za Solar 6w
Bulb za solar 1w,2w,3w
na vifaa vyote vya solar kwa anaetaka tuwasiliane
Ninazo Tv za solar 4w
pasi za Solar 6w
Bulb za solar 1w,2w,3w
na vifaa vyote vya solar kwa anaetaka tuwasiliane