bukoba boy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 5,376
- 3,976
Wapiga kura hawako mijini na kwenye mitandao ya kijamii tukutane October.
Ipo siku hao wajinga wa vijijini masikini wasio na elimu na uelewa wakija kujanjaruka na kukataa kofia, tshirt ,kanga na mchele wenu ndo itakua kiama chenu.Na hiyo siku yaja.