Ulukolokwitanga
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 8,397
- 7,979
kuna watu wanajiita wachungaji kumbe ni wahuni tu!!!!!!!!!!!
Wengine wanajifanya viongozi wa Chama kumbe majangili..
View attachment 95024
Kinana Strikes Again
kuna watu wanajiita wachungaji kumbe ni wahuni tu!!!!!!!!!!!
kuna watu wanajiita wachungaji kumbe ni wahuni tu!!!!!!!!!!!
povu la nn mbona za spika na naibu wake mlizigawa kama mmelipwa.wapuuz nyie
povu la nn mbona za spika na naibu wake mlizigawa kama mmelipwa.wapuuz nyie
povu la nn mbona za spika na naibu wake mlizigawa kama mmelipwa.wapuuz nyie
mhuni wa kawaida yule .....sitta
kuna watu wanajiita wachungaji kumbe ni wahuni tu!!!!!!!!!!!
ondoa neno mheshimiwa weka mhuni ndio tutakupa namba yake
hayo yamesemwa leo bungeni na mh sitta. na kwa namna moja ama nyingine yana ukweli..msigwa ni mhuni sio mchungaji.
Hili ndilo tatizo kubwa la Nape katibu mwenezi wa CCM! anaajiri watu wenye upeo mdogo mno wa kufikiri. Sasa kwa maandiko ya kipumbavu kama haya, nani mjinga anaweza kuvutiwa na Chama Cha Mapinduzi kwa propaganda za kichaa kama huyu? Jengeni hoja zenye nguvu na sio utoto kama huu, eboo!yea, mana kuna wahuni wajanja lakini huyu ni mhuni wa kawaida ambaye hana lolote
mungu atakuadhibu unapomnyooshea mkono Mtumwa wake..mponde yeye kama yeye Msigwa ila Usihusishe na Kazi yake ya Bwana.Hakika wale wote waliomponda Msigwa kupitia Utumishi wa dini yake Watapigwa pigo takatifu.