Hakuna haja ya kuwa na namba ya simu ya "MUHUNI WA KAWAIDA " kama huyo.Jamani mwenye namba ya huyo mheshimiwa anitupie hapa haraka
Jamani mwenye namba ya huyo mheshimiwa anitupie hapa haraka
kuna watu wanajiita wachungaji kumbe ni wahuni tu!!!!!!!!!!!
kuna watu wanajiita wachungaji kumbe ni wahuni tu!!!!!!!!!!!
mungu atakuadhibu unapomnyooshea mkono Mtumwa wake..mponde yeye kama yeye Msigwa ila Usihusishe na Kazi yake ya Bwana.Hakika wale wote waliomponda Msigwa kupitia Utumishi wa dini yake Watapigwa pigo takatifu.
Hakusema mhuni tu, bt "MHUNI WA KAWAIDA"
unaitaka ya nini? lolote litakalomtokea SITTA utakuwa umehusika moja kwa moja MODs ban haraka sana huyu mtu.
ondoa neno mheshimiwa weka mhuni ndio tutakupa namba yake
yea, mana kuna wahuni wajanja lakini huyu ni mhuni wa kawaida ambaye hana lolote
Kuna jicho la tatu na bungeni hapa watajaza thread,