Msaada: Mwenye namba ya simu ya mh. Peter msigwa (mb-iringa)

Msaada: Mwenye namba ya simu ya mh. Peter msigwa (mb-iringa)

Sitta kadhihirisha upuuzi wa chama chake
 
kuna watu wanajiita wachungaji kumbe ni wahuni tu!!!!!!!!!!!

mungu atakuadhibu unapomnyooshea mkono Mtumwa wake..mponde yeye kama yeye Msigwa ila Usihusishe na Kazi yake ya Bwana.Hakika wale wote waliomponda Msigwa kupitia Utumishi wa dini yake Watapigwa pigo takatifu.
 
mungu atakuadhibu unapomnyooshea mkono Mtumwa wake..mponde yeye kama yeye Msigwa ila Usihusishe na Kazi yake ya Bwana.Hakika wale wote waliomponda Msigwa kupitia Utumishi wa dini yake Watapigwa pigo takatifu.

hayo yamesemwa leo bungeni na mh sitta. na kwa namna moja ama nyingine yana ukweli..msigwa ni mhuni sio mchungaji.
 
ondoa neno mheshimiwa weka mhuni ndio tutakupa namba yake

Kama na wewe una namba ya huyo unayedai ni muhuni basi kadhalika weye pia muhuni tena mimi nakuongezea si muhuni tu ila muhuni paka shume we! Hapo vipi umefurahi wewe nyau shume?
 
Kuna jicho la tatu na bungeni hapa watajaza thread,
 
Back
Top Bottom