Waziri wa madini
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 379
- 465
Kuna rafiki yangu anahitaji kuoa mke ambaye ni mwalimu wa sekondari ameniomba ushauri na mimi nimeona nililete jukwaani.Wapo wanaosema ukioa mwalimu utaishi kama mfalme alie peponi mfano halisi anko magu au jk.Na wapo wanasema waalimu wanagubu na Malaya hasa kwakuchepuka na mateacher wenzao,wengine wanasema waalimu hawajui mapenzi wako oldfashion sio romantic.Kwa mnaojua sifa za waalimu hebu fungukeni nipate cha kumshauri rafiki yangu .